Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee

Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Huyu jamaa ni nani anayeuza sura karibu kila video lazima atokee???

Nakumbuka tangu miaka ya mwanzoni ya 2000s huwa anatokea karibu nyimbo zote zilizohit kwa wakati huo na sikuwahi kujiuliza ni nani ila nilifanya mazoea tu kumuona kila hit track enzi hizo

Me namfananisha na Harmorapa nikijua naye huwa anatafuta kiki tu🙂🙂🙂🙂

Sasa hata miaka hii katika nyimbo ya chege nayo katokea
1f602.png
1f602.png


upload_2017-8-11_13-17-16.png

upload_2017-8-11_13-19-8.png

upload_2017-8-11_13-30-3.png


Wanaomjua watuambie huyu jamaa ni nani hasa?
 
Kama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Mkuu me nimenza kufuatilia long sana tangu enzi za KU CREW ila kutomjua mtu ambaye haimbi sio kosa
 
Kama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Kwahiyo na sisi ambao sio wasanii bali ni wasikilizaji tu tunapaswa kuwajua producers ?
 
Kama umeanza kufuatilia Bongo fleva baada ya Domo huwezi kumjua, ila kwa sisi Wahenga tunamfahamu kama PRODUCER DUNGA
Binafsi huwa namkubali sana, hasa alipomalizia mwisho mwisho pale kwenye video ya Matonya - Anitha
Unatumia kinywaji gani nikuhudumie?
 
Anaitwa Dunga ni mtayarishaji wa muziki aliwahi kufanya kazi Mandugu Digital wakati huo ni raia wa Kenya sema ana maskani yake nchini Tanzania mara nyingi anatokea katika video za wanamuziki ambazo amehusika kutengeneza audio zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa huwa anaweka "vionjo" vitamu sana kwenye nyimbo, sijui kwanini asifanye kama DJ KHALID ??
 
Back
Top Bottom