Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Shambulia hoja na sio mleta hojaNilisikia watu wana msifia kanyooka, nilitamani nione kipi kipya cha maana alichoongea. Kumbe hoja zenyewe ndio hizi halafu watu ndio wanaona jamaa kichwa haswa. Kama huyu ndio anaonekana ni mtoa madini basi Watanzania wana upungufu wa maarifa