Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

YANGA WAMETUMIA MBINU YA MABAUNSA KUSUDI ILI SIMA ASUSIE MECHI WAPATE ALAMA TATU ZA MEZANI LAKINI BADALA YAKE WAP NDO WAMEJIINGIZA KWENYE MTEGO WA KUPOKONYWA ALAMA TATU ZA MEZANI IWAPO WATAKQZA FUVU NA KUSUSIA MECHI ITAKQYOPANGWA UPYA.
HII NDO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA.
Mechi 9 Simba imeshinda mara moja pekee dhidi ya Yanga. Hapo Yanga ana sababu gani ya kumuogopa Simba hadi kutumia mbinu ya mabaunsa? Visingizio vya Simba tu hivyo vya Simba kukimbia mechi.

Tokea lini timu ya Simba ikaenda kufanya mazoezi kwenye uwanja wa Mkapa kwenye derby dhidi ya Yanga. Wawe nyumbani ama ugenini, hawakuwahi kwenda kufanya mazoezi pale ila wamechungulia wakaona dhahama tutafute mbinu ya kukimbia
 

Attachments

  • IMG_20250311_140038.jpg
    IMG_20250311_140038.jpg
    273.2 KB · Views: 1
Tumehama kwenye sheria na kanuni sasa tumeamia katika mawazo binafsi? Nimeomba kanuni inayoelekeza timu isipofanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja unaotumika kwa mechi, hapaswi kucheza mechi.

2) kutokana na taarifa ya bodi ya ligi ni kwamba sababu iliyopelekea mechi kuhairishwa ni kufanya uchunguzi kwa matukio yaliyoletwa na afisa usalama je ni vipi kufanyika kwa mechi kungezuia huo uchunguzi kutokufanyika?
Hapa key point ni "uchunguzi " hayo uliyoandika wewe hayahusiani hoja ya "uchunguzi"
Mleta uzi kaenda kumuuliza Jemedari hivyo tusubiri majibu.
 
Rais wa Yanga amekaa na kamati yake ya utendaji wanadai hawatacheza mechi itakayopangwa.Yaani vichwa vyote vile vinatarajia kupewa point 3 za mezani!
Kama tunataka kusafisha uozo kwenye mpira wetu, ni muhimu Uchunguzi wa Rushwa na Matendo ya Rushwa ufanyike pia

Huyu Jemedari Saidi, Shaffi Daudi na wengineo wa aina hii ni wazi wamehongwa kuendeleza upuuzi wao huu
 
Maandishi mengi lakini hakuna hata sehemu moja umejibu hoja za Jemedari,bila shaka wewe ni kati ya wanaoamini kuwa Yanga watapewa points 3 za mezani kama viongozi wa Yanga,haishangazi kuona kila kesi inayohusu mpira wanaangukia pua.
Viongozi wa Yanga wanaweza kuwa wameweka madai hayo kuonyesha udhaifu wa maamuzi yaliyofanywa na bodi pamoja na TFF.

Je kuna kanuni yoyote inayosema timu ngeni ikokosa uwanja wa mazoezi ya mwisho igomee mechi au iahirishwe?
 
Viongozi wa Yanga wanaweza kuwa wameweka madai hayo kuonyesha udhaifu wa maamuzi yaliyofanywa na bodi pamoja na TFF.

Je kuna kanuni yoyote inayosema timu ngeni ikokosa uwanja wa mazoezi ya mwisho igomee mechi au iahirishwe?
Timu ipi iligomea mechi kwa sababu ya kukosa uwanja wa mazoezi? Umeisoma taarifa ya bodi? Unaweza kueleza ni wapi wamesema wameahirisha mechi kwa sababu Simba wamekosa uwanja wa mazoezi?
 
Kama tunataka kusafisha uozo kwenye mpira wetu, ni muhimu Uchunguzi wa Rushwa na Matendo ya Rushwa ufanyike pia

Huyu Jemedari Saidi, Shaffi Daudi na wengineo wa aina hii ni wazi wamehongwa kuendeleza upuuzi wao huu
Jibu kwanza hoja zake, wewe ni kati ya wanaosubiri point 3 za mezani?
 
Hoza zake ni zipi ziweke hapa zote
1.Kwamba Yanga wana matarajio hewa ya kupewa point 3 za mezani kwa mechi iliyofutwa.Wewe ni kati ya wanaoamini kuwa Yanga watapewa hizo points 3?
2.Kwamba Yanga wamewezaje kupeleka timu kwenye mechi iliyofutwa wakitegemea kupata point 3 za dezo?
3.Yanga wanawezaje kudai points 3 wakati kwenye mechi yao bodi haikupeleka waamuzi na maofisa wa mechi
4.Uchunguzi wa bodi haiwezi kubatilisha kuchezwa kwa mechi itakayopangiwa tarehe mpya
 
Hivi, kisheria, ni mshabiki yupi wa Yanga aliyegomea Simba kuingia uwanjani? Maana jezi za Yanga si kigezo cha muvaaji kuwa shabiki wa Yanga
 
Hivi, kisheria, ni mshabiki yupi wa Yanga aliyegomea Simba kuingia uwanjani? Maana jezi za Yanga si kigezo cha muvaaji kuwa shabiki wa Yanga
Unadhani shabiki wa Simba anaweza kuizuia timu yake au kuifanyia vurugu?Huo ndio utaratibu wanaoutumia CAF, unafikiri kwa nini Simba waliadhibiwa na CAF adhabu ya kutoingiza mashabiki?walikuwa na vitambulisho vya mashabiki wa Simba?Kuvaa jezi tu inatosha kujua kuwa ni mashabiki wa Simba?
 
1.Kwamba Yanga wana matarajio hewa ya kupewa point 3 za mezani kwa mechi iliyofutwa.Wewe ni kati ya wanaoamini kuwa Yanga watapewa hizo points 3?
2.Kwamba Yanga wamewezaje kupeleka timu kwenye mechi iliyofutwa wakitegemea kupata point 3 za dezo?
3.Yanga wanawezaje kudai points 3 wakati kwenye mechi yao bodi haikupeleka waamuzi na maofisa wa mechi
4.Uchunguzi wa bodi haiwezi kubatilisha kuchezwa kwa mechi itakayopangiwa tarehe mpya

Ngoja nikujibu ndugu mwakilishi wa Bin Kazumari,

Kupewa point 3 inategemea na weledi wa mamlaka husika inayosimamia na kuongoza soka katika kusimamia na kutafsiri sheria na kanuni kwa haki na usawa.

Kutokana na madhaifu yaliyopo bodi ya ligi na TFF, Yanga hawawezi kupata point 3 hata wafanye nini. Lile tukio lingetokea kwa nchi za wenzetu wanaosimamia soka kwa kufuata kanuni wasingekaa kikao cha dharura ili kujadili tamko la Simba kuhusu kugomea mechi badala yake wao wangekaa kimya kusubiri muda wa kick off na taratibu za mechi zikibakia palepale.

Mamlaka ingefuata kanuni inasema nini kuhusu timu A kumzuia timu B ambaye ni mgeni kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja unaotumika kwaajili ya mechi. Na endapo kama itatokea huyu timu B kagoma kupeleka timu kwaajili ya mchezo hadi muda wa kick off basi watarejea katika kanuni zao kama kuna kipengele kilichoiruhusu kugomea mechi baada ya tukio ama lah. Kama ipo basi atakuwa na haki ya kugoma ila kama hakuna kanuni hiyo basi inatakiwa kanuni iangaliwe inasemaje kuhusiana na timu inayogomea mechi kwasababu ambazo hazijaanishwa kwenye kanuni.

2) Yanga walipeleka timu uwanjani kwa mechi iliyofutwa ili kutuma ujumbe kwa bodi ya ligi kuwa hakukuwa na uhalali kikanuni kuahirisha ule mchezo. Kama wewe nawe unaungana na bodi ya ligi kuwa ni halali kikanuni basi naomba nijibu maswali haya mawili tu

(i) Naomba kanuni inayoelekeza timu mgeni isipofanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja unaotumika kwa mechi, hapaswi kucheza mechi.

ii) kutokana na taarifa ya bodi ya ligi ni kwamba sababu iliyopelekea mechi kuahirishwa ni kufanya uchunguzi kwa matukio yaliyoletwa na afisa usalama je ni vipi kufanyika kwa mechi kungezuia huo uchunguzi kufanyika?

3) swali lako la tatu majibu yake yanafanana na ya pili, Yanga hawakukubaliana na maamuzi ya bodi ya ligi.

4) Kama uchunguzi unaweza kubatilisha mechi kuchezwa, mbona kuna matukio mengi yanayojitokeza viwanjani kabla ya mchezo au baada ya mchezo au wakati wa mchezo je lini tuliona mechi ikisitishwa kwaajili ya kupisha uchunguzi kama tu uchunguzu ni hoja nzito ya kufanya mechi isichezwe?
 
Ukisikia
Ngoja nikujibu ndugu mwakilishi wa Bin Kazumari,

Kupewa point 3 inategemea na weledi wa mamlaka husika inayosimamia na kuongoza soka katika kusimamia na kutafsiri sheria na kanuni kwa haki na usawa.

Kutokana na madhaifu yaliyopo bodi ya ligi na TFF, Yanga hawawezi kupata point 3 hata wafanye nini. Lile tukio lingetokea kwa nchi za wenzetu wanaosimamia soka kwa kufuata kanuni wasingekaa kikao cha dharura ili kujadili tamko la Simba kuhusu kugomea mechi badala yake wao wangekaa kimya kusubiri muda wa kick off na taratibu za mechi zikibakia palepale.

Mamlaka ingefuata kanuni inasema nini kuhusu timu A kumzuia timu B ambaye ni mgeni kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja unaotumika kwaajili ya mechi. Na endapo kama itatokea huyu timu B kagoma kupeleka timu kwaajili ya mchezo hadi muda wa kick off basi watarejea katika kanuni zao kama kuna kipengele kilichoiruhusu kugomea mechi baada ya tukio ama lah. Kama ipo basi atakuwa na haki ya kugoma ila kama hakuna kanuni hiyo basi inatakiwa kanuni iangaliwe inasemaje kuhusiana na timu inayogomea mechi kwasababu ambazo hazijaanishwa kwenye kanuni.

2) Yanga walipeleka timu uwanjani kwa mechi iliyofutwa ili kutuma ujumbe kwa bodi ya ligi kuwa hakukuwa na uhalali kikanuni kuhairisha ule mchezo. Kama wewe nawe unaungana na bodi ya ligi kuwa ni halali kikanuni basi naomba nijibu maswali haya mawili tu

(i) Naomba kanuni inayoelekeza timu mgeni isipofanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja unaotumika kwa mechi, hapaswi kucheza mechi.

ii) kutokana na taarifa ya bodi ya ligi ni kwamba sababu iliyopelekea mechi kuhairishwa ni kufanya uchunguzi kwa matukio yaliyoletwa na afisa usalama je ni vipi kufanyika kwa mechi kungezuia huo uchunguzi kufanyika?

3) swali lako la tatu majibu yake yanafanana na ya pili, Yanga hawakukubaliana na maamuzi ya bodi ya ligi.

4) Kama uchunguzi unaweza kubatilisha mechi kuchezwa, mbona kuna matukio mengi yanayojitokeza viwanjani kabla ya mchezo au baada ya mchezo au wakati wa mchezo je lini tuliona mechi ikisitishwa kwaajili ya kupisha uchunguzi kama tu uchunguzu ni hoja nzito ya kufanya mechi isichezwe?
Ngoja nikujibu ndugu mwakilishi wa Bin Kazumari,

Kupewa point 3 inategemea na weledi wa mamlaka husika inayosimamia na kuongoza soka katika kusimamia na kutafsiri sheria na kanuni kwa haki na usawa.

Kutokana na madhaifu yaliyopo bodi ya ligi na TFF, Yanga hawawezi kupata point 3 hata wafanye nini. Lile tukio lingetokea kwa nchi za wenzetu wanaosimamia soka kwa kufuata kanuni wasingekaa kikao cha dharura ili kujadili tamko la Simba kuhusu kugomea mechi badala yake wao wangekaa kimya kusubiri muda wa kick off na taratibu za mechi zikibakia palepale.

Mamlaka ingefuata kanuni inasema nini kuhusu timu A kumzuia timu B ambaye ni mgeni kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja unaotumika kwaajili ya mechi. Na endapo kama itatokea huyu timu B kagoma kupeleka timu kwaajili ya mchezo hadi muda wa kick off basi watarejea katika kanuni zao kama kuna kipengele kilichoiruhusu kugomea mechi baada ya tukio ama lah. Kama ipo basi atakuwa na haki ya kugoma ila kama hakuna kanuni hiyo basi inatakiwa kanuni iangaliwe inasemaje kuhusiana na timu inayogomea mechi kwasababu ambazo hazijaanishwa kwenye kanuni.

2) Yanga walipeleka timu uwanjani kwa mechi iliyofutwa ili kutuma ujumbe kwa bodi ya ligi kuwa hakukuwa na uhalali kikanuni kuhairisha ule mchezo. Kama wewe nawe unaungana na bodi ya ligi kuwa ni halali kikanuni basi naomba nijibu maswali haya mawili tu

(i) Naomba kanuni inayoelekeza timu mgeni isipofanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja unaotumika kwa mechi, hapaswi kucheza mechi.

ii) kutokana na taarifa ya bodi ya ligi ni kwamba sababu iliyopelekea mechi kuhairishwa ni kufanya uchunguzi kwa matukio yaliyoletwa na afisa usalama je ni vipi kufanyika kwa mechi kungezuia huo uchunguzi kufanyika?

3) swali lako la tatu majibu yake yanafanana na ya pili, Yanga hawakukubaliana na maamuzi ya bodi ya ligi.

4) Kama uchunguzi unaweza kubatilisha mechi kuchezwa, mbona kuna matukio mengi yanayojitokeza viwanjani kabla ya mchezo au baada ya mchezo au wakati wa mchezo je lini tuliona mechi ikisitishwa kwaajili ya kupisha uchunguzi kama tu uchunguzu ni hoja nzito ya kufanya mechi isichezwe?

Ngoja nikujibu ndugu mwakilishi wa Bin Kazumari,

Kupewa point 3 inategemea na weledi wa mamlaka husika inayosimamia na kuongoza soka katika kusimamia na kutafsiri sheria na kanuni kwa haki na usawa.

Kutokana na madhaifu yaliyopo bodi ya ligi na TFF, Yanga hawawezi kupata point 3 hata wafanye nini. Lile tukio lingetokea kwa nchi za wenzetu wanaosimamia soka kwa kufuata kanuni wasingekaa kikao cha dharura ili kujadili tamko la Simba kuhusu kugomea mechi badala yake wao wangekaa kimya kusubiri muda wa kick off na taratibu za mechi zikibakia palepale.

Mamlaka ingefuata kanuni inasema nini kuhusu timu A kumzuia timu B ambaye ni mgeni kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja unaotumika kwaajili ya mechi. Na endapo kama itatokea huyu timu B kagoma kupeleka timu kwaajili ya mchezo hadi muda wa kick off basi watarejea katika kanuni zao kama kuna kipengele kilichoiruhusu kugomea mechi baada ya tukio ama lah. Kama ipo basi atakuwa na haki ya kugoma ila kama hakuna kanuni hiyo basi inatakiwa kanuni iangaliwe inasemaje kuhusiana na timu inayogomea mechi kwasababu ambazo hazijaanishwa kwenye kanuni.

2) Yanga walipeleka timu uwanjani kwa mechi iliyofutwa ili kutuma ujumbe kwa bodi ya ligi kuwa hakukuwa na uhalali kikanuni kuhairisha ule mchezo. Kama wewe nawe unaungana na bodi ya ligi kuwa ni halali kikanuni basi naomba nijibu maswali haya mawili tu

(i) Naomba kanuni inayoelekeza timu mgeni isipofanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja unaotumika kwa mechi, hapaswi kucheza mechi.

ii) kutokana na taarifa ya bodi ya ligi ni kwamba sababu iliyopelekea mechi kuhairishwa ni kufanya uchunguzi kwa matukio yaliyoletwa na afisa usalama je ni vipi kufanyika kwa mechi kungezuia huo uchunguzi kufanyika?

3) swali lako la tatu majibu yake yanafanana na ya pili, Yanga hawakukubaliana na maamuzi ya bodi ya ligi.

4) Kama uchunguzi unaweza kubatilisha mechi kuchezwa, mbona kuna matukio mengi yanayojitokeza viwanjani kabla ya mchezo au baada ya mchezo au wakati wa mchezo je lini tuliona mechi ikisitishwa kwaajili ya kupisha uchunguzi kama tu uchunguzu ni hoja nzito ya kufanya mechi isichezwe?
Hizi sasa ndio pumba zenyewe
 
Hoja hupingwa kwa hoja, kuishia kusema ni pumba ni wazi umeshindwa kujibizana kwa hoja.
Ulivyoomba hoja nikadhani unataka kujibu hoja kweli Hujapinga hoja za Jemedari hata moja,mie nimeona umejisumbua kuandika maandishi mengi ambayo ni pumba,nami pia nimejisumbua kubishana na wewe tangu mwanzo.
 
Ulivyoomba hoja nikadhani unataka kujibu hoja kweli Hujapinga hoja za Jemedari hata moja,mie nimeona umejisumbua kuandika maandishi mengi ambayo ni pumba,nami pia nimejisumbua kubishana na wewe tangu mwanzo.
Mwenye akili na maarifa anakuwa ana uwezo kuonesha hiki ni pumba badala yake usahihi wake ni hiki. Ila wewe umeonesha hujui lolote ni zero ndio maana unamtegemea mtu akuongoze akili. Unatamani kumwita Jemedari aje hapa jukwaani akusaidie kupangua nilichoandika maana wewe kichwani ni zero.
 
Huyu Jemedari mnayemsifia na yule anayejiita mzee wa jambia ndo watetezi wa simba. Hawa jamaa ndo wanawapoteza simba kwa kuamini kwamba propaganda zao na chuki zao kwa Yanga zitawapa mafanikio.

Anyway Tanzania wananchi wake wanaamini kwenye propaganda. Na wanaamini propaganda za media ndo kila kitu. Ndo maana hata hapa JF tangu simba wagomee mechi kumekuwa na mada nyingi sana za kutetea yale maamuzi ya kipambavu walioyafanya wanaoitwa viongozi wa Simba.

Kwa ujinga na upambavu huu tutaendelea kusheherekea mafanikio ya kufika robo fainali mara 6 mfululizo na ujinga wa namna hiyo.
Ungejibu kwanza hoja ya jemedari Ili twende sawa
 
Jemedari Kile ni kichwa sana Aisee.
Jamaa alikuwa anasoma sekondari huku anacheza Ligi Kuu (Kariakoo Lindi)

Akitoka safari ndefu ya Mchezo wa League anakuja kuwakimbiza darasani anashika nafasi ya kwanza.

Alikuwa anawakimbiza kote kote Mpirani na Darasani.

Bravo Kazumari.
 
Huyu Jemedari mnayemsifia na yule anayejiita mzee wa jambia ndo watetezi wa simba. Hawa jamaa ndo wanawapoteza simba kwa kuamini kwamba propaganda zao na chuki zao kwa Yanga zitawapa mafanikio.

Anyway Tanzania wananchi wake wanaamini kwenye propaganda. Na wanaamini propaganda za media ndo kila kitu. Ndo maana hata hapa JF tangu simba wagomee mechi kumekuwa na mada nyingi sana za kutetea yale maamuzi ya kipambavu walioyafanya wanaoitwa viongozi wa Simba.

Kwa ujinga na upambavu huu tutaendelea kusheherekea mafanikio ya kufika robo fainali mara 6 mfululizo na ujinga wa namna hiyo.
Utopolo mtupu
 
Back
Top Bottom