ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Heshima kwenu waungwana.
Nina huyu jirani yangu ambaye hatuna mazowea sana,ni mwanaume. Shida yangu ni kuwa ni mlevi hatari. Kama angekuwa hapigi mikelele usiku wala nisingejali. Lakini akilewa mnakesha wote.
Wenzangu huwa mnafanya je hali kama hiyo inapotokea? Natamani kuuza nyumba nihame,lakini sijui huko nako niendako nitakuta kero gani.
Nina huyu jirani yangu ambaye hatuna mazowea sana,ni mwanaume. Shida yangu ni kuwa ni mlevi hatari. Kama angekuwa hapigi mikelele usiku wala nisingejali. Lakini akilewa mnakesha wote.
Wenzangu huwa mnafanya je hali kama hiyo inapotokea? Natamani kuuza nyumba nihame,lakini sijui huko nako niendako nitakuta kero gani.