Huyu kiongozi mzalendo, mwana wa Afrika hakujua kuwa walio karibu naye hawakumpenda na walimtakia mabaya kama ilivyokuwa kwa Thom Sankara?

Kwa hiyo 2020 kwa namna CCM ilivyokuwa inakubalika ungepata hata kura wewe Mcdm?

Unaposema ilikuwa inakubalika unadhani ukweli tulikuwa hatuujui, au unadhani vitisho na mabavu huwa vinafanya mtu akubalike? Hao walioagiza uchaguzi unajisiwe ukweli wote walikuwa wanaujua, na hata hizo kura chache zilizopigwa ukweli waliupata. Hiki sio kizazi cha wajinga, japo ni waoga.
 
Mzalendo wa afrika kama Sankara alikuwa anatembea na betri moyoni mwake. Na kwake yeye kuweza kuishi miaka zaidi ya kumi akiwa na kifaa hicho ni haki kabisa kusema Mungu apewe sifa.
 
Vitisho na mabavu haviwezi kubadili nguvu ya umma. Umma ungeikataa CCM hakuna mtu angelazimisha.
 
Vitisho na mabavu haviwezi kubadili nguvu ya umma. Umma ungeikataa CCM hakuna mtu angelazimisha.

Nguvu ya umma sio kuandamana tu, hata idadi ndogo ya wapiga kura hiyo ni nguvu ya umma isiyoacha madhara kwa wananchi.
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Uwe unamshukuru pia wanapozaliwa watoto wachanga na kufariki siku hiyo hiyo la sivyo huyo Mungu wako atakuwa ni wa matunguli, mahirizi na machale kila kona ya mwili wako.

Kifo ni siri ya Mungu pekee.
 
mwamba alijiwekea ulinzi mpaka wa helicopters lakini wapi sasa hivi hata hajui kama Kinana & Membe wana maamuzi muhimu Chamani
 
Cheti fake spirit go on ,,,,
 
Watanzania tuna ujinga mwingi kama huu wa mleta mada!! Hivi mtu katugawa kwa;

Ukanda.
Ukabila.
Uchama,
Kaibia wafugaji mifugo yao kupitia Luhanga mpina wakawa wanaisafirisha kwenda karagwe aliko pora launch ya Taifa.

Ameua watu, ametesa watu, ametuletea vilaza Bungeni kama Babu tale, mwana FA. Ametuletea majambazi kama sabaya+ makonda huo uzalendo ameutoa wapi??,Puuzi kubwa hili.
 
We nawe unastahili kujibiwa?
 
UZALENDO MAANA YAKE NINI? LABDA MIMI SIELEWI
 
Mbona wewe hukutekwa na kuuwawa hadharani? Au Ngo'ombe za baba yako zilichukuliwa kwa nguvu

Mbona wewe hukutekwa na kuuwawa hadharani? Au Ngo'ombe za baba yako zilichukuliwa kwa nguvu?
Inawezekana nilikwepa sana!! Jitu lina roho mbaya mpaka kwa ndugu zake, afu unakuta kapu Kama wewe unakuja na pambio za kusifia katili. Huyo jamaa yako huko anaugulia machozi ya kina Ben sa8, Azory, mama Kabendera, Aqwilina.
 
Inawezekana nilikwepa sana!! Jitu lina roho mbaya mpaka kwa ndugu zake, afu unakuta kapu Kama wewe unakuja na pambio za kusifia katili. Huyo jamaa yako huko anaugulia machozi ya kina Ben sa8, Azory, mama Kabendera, Aqwilina.
Weka ushahidi wako namna alivyofanya huu uhalifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…