Huyu kiongozi wa ACT-Wazalendo ni mkweli? Anadai Magufuli alituma watu wachome nyumba yake na shamba lake la mikorosho

Covid 19 siyo ya kuidharau hasa inapokutana na JJ hukimbilia ubongoni by USA!
 
Inawezekana kabisa ,kama Juzi kiongozi wa TAKUKURU Arusha alisema Sabaya alikuwa na kukundi cha ujambazi Arusha ,na walikuwa wakitumia majina feki kupora Arusha ,we unadhani magufuli alikuwa hajui? Hata sabaya alisema alikuwa anatumwa na mamlaka ya uteuzi ,Sasa unashangaa nini zitto kusema hivo
 
Hilo lipo wazi.kama unachoma viumbe hai huku vinalia utashindwa kuchoma miti au nyumba?
 
Zitto kuna nyakati na mkubali, ila kuna nyakati huwa simuelewi kabisa.

Yani Rais amtume mtu aje kuchoma shamba lako!?

Mbona haini ingii hakilini?

Alafu cha kushangaza mtu huyo asitekeleze amri ya Rais!?

Zitto hapo umetombesha maneno, sikubaliani na maneno yako.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mbona sasa amefunga akaunti., anachagua watu wa kukoment ujinha wake. Linafiki sana.
 
Reactions: mmh
Watu wa vyeti feki mnamatatizo sana. Basi endeleeni na uhayawani wa kufikiri kufoji vyetu ndo mpate huruma ya serikali.
 
Ila kwa roho ya yule bwana ,mimi siwezi pinga yote yaliwezekana kwake
 
Yule baba alipanga kutenda maovu mpaka saa ya kifo chake
 
Kabisa mkuu!

Ndio maana baada ya kifo chake migaidi sasa inanyea debe!

Kumbe yule hayawani alikuwa analea migaidi,!

Hakika sasa tuko vizuri ndio maana hata juzi sisi mabavicha tulimpongeza sana Zitto baada ya hotuba yake mbele ya rais.
Mbona Magufuri kawatesa Sana hao magaidi. Kavunja bilcanass, kaharibu shamba lake nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…