johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Covid 19 siyo ya kuidharau hasa inapokutana na JJ hukimbilia ubongoni by USA!Hiki anachofanya Zitto, is not right at all, hata kama ni kweli, huwezi kumtuhumu mtu asiyeweza kujitetea kwa tuhuma nzito hivi, naona sasa Zitto anaitafuta karma fulani hivi.. ambayo... halafu ikitokea, bado watu watajifanya kushangaa kama ilivyotokea kwa naniliu !.
P