ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Yule HAYAWNI tuliyemzika Chato alifanya UHALIFU mwingi dhidi ya binadamu.
Mungu alikasirishwa akaamua kumuondoa duniani ili kuinusuru Nchi yetu nzuri.
MAOVU yote yaliyofanywa na Magufuli lazima yafahamike wazi kwa watanzania wote waliopo na vizazi vijavyo.
Nashangaa mijitu kama Urojogang eti inaona kama anachafuliwa. Jiulize mbona hakuna madai kama hayo dhidi ya Nyerere au Mkapa?
Vipi yaliyofanyika utawala wa Kikwete, Mwinyi, Mkapa,Nyerere.
Yapo Madai mengi tu zama zingine, zote, uwezo wako tu kufikiri, Kutambua, kujitambua.