Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hahahaha.....Mbona kama kimakonde icho?
Dah!! Watu wanapenda sifa!!!!!
Umetisha mkuuu [emoji106][emoji106][emoji106]After a very tough campaign full of all sort of politicking, character assassination and name calling, with hypocrisy of some Americans being in the uppermost and ending with the unexpected Trump's victory; America will never be the same America we know; economically,ideologically, and politically.Hillary underestimating Trump's opposition has ushered America into a new era and there is no way back Trump is the people's choice.
Hii nayo ninoomaView attachment 432455
Nilishawahi ona video ya Interview yake aliyofanyiwa na Churchill live anasema amesoma sana Biologia na ndio maana kuna maneno mengi ya Kibiologia kwenye maongezi yake.
Kenya na Tanzania sote tulitawaliwa na mwingereza, ninayo imani kama mtanzania ni miongoni mwa hadhira/walengwa wa PLO LUMUMBAUle utafiti ni kwa hapa Tz tu ndugu
Duh hata Google wamechemka!hatari hii!Nimejaribu kupeleka sehemu ya Tamko lake Google Translate.
Ngoja nilete majibu
Baada ya ukitoa sauti kubwa, rumbustious, bousterous na bila masharti exuberant Kampeni, isiyokuwa ya kawaida na milele kuongezeka mfano unafiki Haa imeonekana na ambao Wamarekani prodigious na nyenyekevu ambao serendipitously alifanya Trump rais wao