Huyu Laizer wa WCB ni habari nyingine

Huyu Laizer wa WCB ni habari nyingine

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
Habarini Wakuu,

WCB is a really music classic group currently, ni kundi ambalo linafanya vizuri mpaka mtu unaogopa hata kuwadis wanamuziki wake kama si kuona aibu kuwaongelea negatively...kwasababu utachekwa na wengi tena sio wabongo tu.

Miongoni mwa sababu kubwa ya wao kufanya vizuri ni Utaalam, Utundu na Uwezo wa Producer makini Laizer.

Diamond huwa anaona sana Fursa.

Diamond ndio alimwomba Laizer awe producer wake wakati alipokutana naye Kigoma, wakati huo Laizer akiproduce local musics za kimanyema, lakini zaidi akifanya kazi zake nzuri sana huko Burundi.

-Nimemsikiliza jamaa akihojiwa kwenye mtandao wa www.perfect255 jamaa hana matambo na makuu na anajieleza vizuri kweli.

-Ni producer yupi kwasasa utamlinganisha na huyu Laizer? Kwasababu kina Nisher naona washapotezwa kabisa na hata Director Hanscana hasikiki kivile tena.

■ Miongoni mwa kazi zake hatari ni

-Matatizo-Harmonize
-Kwetu-Raymond
-Sugu-Raymond na
-Inde ya Dully Sykes na Harmonize.

Pongezi nyingi kwa huyu dogo.
 
Hizo beat Za matarumbeta kila wimbo ndio kinachofanya umuone jamaa mkali?!

Huyo anatembelea nyota ya Diamond ni kama wakati ule ilivyokuwa kwa Shedy Clever baada ya kufanya my number one na Diamond kutoka pale hakuna kitu.

Kwa sasa producer bora ni T touch achana na huyo Laizer anaetamba kwa mgongo wa Diamond.
 
Hizo beat Za matarumbeta kila wimbo ndio kinachofanya umuone jamaa mkali?!

Huyo anatembelea nyota ya Diamond ni kama wakati ule ilivyokuwa kwa Shedy Clever baada ya kufanya my number one na Diamond kutoka pale hakuna kitu.

Kwa sasa producer bora ni T touch achana na huyo Laizer anaetamba kwa mgongo wa Diamond.
Daah ila inashangaza jamaa unamwita Matarumbeta ila kazi zake zinakubalika kwenye jamii na zinahit haswaa.
1480392096337.jpg
 
Mbona km kachokachoka mavumba ya wcb hayajampitia bado nn!
 
Nisher na Hanscana wamehusikaje hapo sijakuelewa?
Nisher ni producer...competitor wa Laizer hata kama hajatangaza

Hanscana alikuwa ni director wa kuitwa itwa na kusifiwa kwa kiila track ya Diamond ila sikuhiz ni Laizer tuu
 
Nisher ni producer...competitor wa Laizer hata kama hajatangaza

Hanscana alikuwa ni director wa kuitwa itwa na kusifiwa kwa kiila track ya Diamond ila sikuhiz ni Laizer tuu
Nilitaka nitie neno ila nimegundua we jamaa ni mvuta bangi, sikujua kwamba Nisher na Hanscana ni maproducer
 
Iko hivi :
Huyu Laizer kazi anajua ila kazi yake ni Identical mno... Yaani beat za nyimbo alizozalisha zina vionjo vinavyo lingana kama matumuzi makubwa ya mlio wa tarumbeta.

Kiujumla hawezi kutoka nje ya mipaka yake.!

Tud Thomas:

Huyu ndio mzalishaji bora kwa sasa hapa Tanzania.. Akifuatwa na watu kama akina Nahreel na Lufa.

Kazi zake ziko diversified sana. Yaani hazina mlingano.
 
Nilitaka nitie neno ila nimegundua we jamaa ni mvuta bangi, sikujua kwamba Nisher na Hanscana ni maproducer
Hiyo bangi ukianza kuivuta wewe kabla yangu

Ni wapi nimesema Hanscana ni Producer?

Hebu nioneshe.
 
Back
Top Bottom