Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ana tuzo gani mpaka sasa?4 years ago. Bado una mentality ya kishamba kuhusu Laizer? Jamaa yuko juu kuliko kipindi chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana tuzo gani mpaka sasa?4 years ago. Bado una mentality ya kishamba kuhusu Laizer? Jamaa yuko juu kuliko kipindi chochote
Ana tuzo gani mpaka sasa?
Achana na kushinda tu nomination je?? Maan mwaka jana kimambo na kizzy walau walionekana japokuwa hawakushindaWatu washaga achana na habari za tuzo. By the way hakuna tuzo siku hizi Bongo. Labda unazungumzia tuzo za nje huko!
Ambazo hakuna producer yoyote Bongo alishawahi kuchukua.
Kifupi tu achana na habari za tuzo kwa music industry ya sasa! Utaonekana mshamba kuliko 2016 blaza Extrovert
hii hapa afrimma nomination za mwaka janaAchana na kushinda tu nomination je?? Maan mwaka jana kimambo na kizzy walau walionekana japokuwa hawakushinda
Mwanza hajaitengeneza kaifanyiaa vocaling na mastering beat akitengeneza Black Q, teamo hajitengeneza kaitengeneza Gachi B (jina lake sijui kama nimelipatia ndiye ia aliyetengeneza naogoapa), teamo hajaitengeneza kaiengeneza huyo huyo Gachi B. Ndiyo maana nakwambia kwasasa hits nyingi beat wanatengeneza wengine yeye anafanya vocaling. Diamond mwenyewe mara nyingi yuko kwa S2kizzyAmetengeneza hit nyingi tu. Kwa ngwaru
Inama
Sikomi
Mwanza, the one,teamo,n.k
s2kizzy anatumika sana kwenye nyimbo za amsha amsha ila nyingine kama za kusikiliza Mf.teamo,gere n.k anatengeneza lizerMwanza hajaitengeneza kaifanyiaa vocaling na mastering beat akitengeneza Black Q, teamo hajitengeneza kaitengeneza Gachi B (jina lake sijui kama nimelipatia ndiye ia aliyetengeneza naogoapa), teamo hajaitengeneza kaiengeneza huyo huyo Gachi B. Ndiyo maana nakwambia kwasasa hits nyingi beat wanatengeneza wengine yeye anafanya vocaling. Diamond mwenyewe mara nyingi yuko kwa S2kizzy
Nyimbo nyingine kazitengeneza Black Q, laizer anajua sana nyibo za mahadhi ya pwani kama za Zucchu na nyombonyingine kazitengeneza gachu B. Watu wanahama hama maana utakuta nyimbo zinafanana wasipofanya hivyos2kizzy anatumika sana kwenye nyimbo za amsha amsha ila nyingine kama za kusikiliza Mf.teamo,gere n.k anatengeneza lizer
Luffa angekua mkali asingekua anatimuliwa kila studio anayoenda.Uyo Laizer namuona pang'ang'a producer tu...hamna la maana hapo! Mabiti yake yote mabovu utadhani nyimbo za ma undeground. Kimsingi naona anasafiria nyota ya blaza mondi tu.
Producer mukaree ni luffa tu kwa sasa.
Kwa sasa S2keezy ndio mnyamaaLuffa angekua mkali asingekua anatimuliwa kila studio anayoenda.
Lyzer toka 2015 mpaka Leo yupo mainstream