Huyu Laizer wa WCB ni habari nyingine

Huyu Laizer wa WCB ni habari nyingine

2015-2016
1. nah real
2. mr t touch
3. marco chali
4. messein selekta
5. abby daby
6. duke touch
7. man water
8. tongwe record
9. tuddy thomas
10. shedy clever
 
Hawezi gusa huko....bado mdogo sana katika ideas za kutengeneza Good Music...........Kuna wataalamu kama Nahreel.....Tud....Ima.....T-Touch.....Man Water.......Hawa ni baadhi tu ya maproducer wa muda wote............
hapo sawa umewatendea haki....
 
2015-2016
1. nah real
2. mr t touch
3. marco chali
4. messein selekta
5. abby daby
6. duke touch
7. man water
8. tongwe record
9. tuddy thomas
10. shedy clever
kama uko kwenye akili yangu......i feel so good....yeyeehhh...
 
Nilikuwa sijasikia wimbo wa kokolo, nimeusikia leo napenda kusema shikamoo rich na mavoko.
Na beat ya laizer na habdad kwakweli ni balaa tupu yani imachezeka safi sana
 
Mkuu kwani namsingizia kuwa Beat zake Hazina matarumbeta kama tupo harusini?!

na hakuna sehemu ambayo nimesema kuwa jamaa kazi zake hazi-hit mtaani ila lazima ujue kazi ya msanii ku-hit kuna mambo mengi nyuma yake sio producer peke yake.

Ipo wazi labda uwe mbishi tu jamaa uwezo wake ni kawaida mno zaidi ni kuwa anafanya kazi na diamond na hiko ndio kinachomuweka juu.

Ila dogo agusi kabisa level za Mr.T touch au hata Bob Manecky kama unabisha sikiliza ngoma ya Juma Jux Wivu utaelewa zaidi.
Kama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.
 
2015-2016
1. nah real
2. mr t touch
3. marco chali
4. messein selekta
5. abby daby
6. duke touch
7. man water
8. tongwe record
9. tuddy thomas
10. shedy clever
Tongwe Record ni producer gani?
 
Kama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.
Ni kweli mkuu...hadi aibu kuusikiliza huu wimbo hasa mwanzoni.
 
ujajipanga kutoa post inaonekana uwafahamu ma producer na wanao shuti pole sana kwa post yko ya mwendo kasi.
 
Kama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.
na wimbo wa zigo umefanywa na nah real pamoja hammy b
 
Mkuu kwani namsingizia kuwa Beat zake Hazina matarumbeta kama tupo harusini?!

na hakuna sehemu ambayo nimesema kuwa jamaa kazi zake hazi-hit mtaani ila lazima ujue kazi ya msanii ku-hit kuna mambo mengi nyuma yake sio producer peke yake.

Ipo wazi labda uwe mbishi tu jamaa uwezo wake ni kawaida mno zaidi ni kuwa anafanya kazi na diamond na hiko ndio kinachomuweka juu.

Ila dogo agusi kabisa level za Mr.T touch au hata Bob Manecky kama unabisha sikiliza ngoma ya Juma Jux Wivu utaelewa zaidi.
Uyo Laizer namuona pang'ang'a producer tu...hamna la maana hapo! Mabiti yake yote mabovu utadhani nyimbo za ma undeground. Kimsingi naona anasafiria nyota ya blaza mondi tu.
Producer mukaree ni luffa tu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom