Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo sawa umewatendea haki....Hawezi gusa huko....bado mdogo sana katika ideas za kutengeneza Good Music...........Kuna wataalamu kama Nahreel.....Tud....Ima.....T-Touch.....Man Water.......Hawa ni baadhi tu ya maproducer wa muda wote............
kama uko kwenye akili yangu......i feel so good....yeyeehhh...2015-2016
1. nah real
2. mr t touch
3. marco chali
4. messein selekta
5. abby daby
6. duke touch
7. man water
8. tongwe record
9. tuddy thomas
10. shedy clever
sijakuelewa mkuu ila siku nyingine punguza jazba ukiwa kwenye kundi la watu.Post kazi zako tuzione ..sio kuponda kazi za wenzako..huo ni mtazamo tu
Kakwapua vionjo vya zigo remix akachanganya na salome+kamatia chini ya navykenzoMr.T Touch katisha sana kwenye Ngoma ya Darassa ft Ben Po-Muziki
Kama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.Mkuu kwani namsingizia kuwa Beat zake Hazina matarumbeta kama tupo harusini?!
na hakuna sehemu ambayo nimesema kuwa jamaa kazi zake hazi-hit mtaani ila lazima ujue kazi ya msanii ku-hit kuna mambo mengi nyuma yake sio producer peke yake.
Ipo wazi labda uwe mbishi tu jamaa uwezo wake ni kawaida mno zaidi ni kuwa anafanya kazi na diamond na hiko ndio kinachomuweka juu.
Ila dogo agusi kabisa level za Mr.T touch au hata Bob Manecky kama unabisha sikiliza ngoma ya Juma Jux Wivu utaelewa zaidi.
Tongwe Record ni producer gani?2015-2016
1. nah real
2. mr t touch
3. marco chali
4. messein selekta
5. abby daby
6. duke touch
7. man water
8. tongwe record
9. tuddy thomas
10. shedy clever
Ni kweli mkuu...hadi aibu kuusikiliza huu wimbo hasa mwanzoni.Kama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.
jayrider huko ni hip hop ngumu tu za kina Roma,Fid.q nkTongwe Record ni producer gani?
Mtoe Shedy Clever twende sawa, hastahili kuingia humo.2015-2016
1. nah real
2. mr t touch
3. marco chali
4. messein selekta
5. abby daby
6. duke touch
7. man water
8. tongwe record
9. tuddy thomas
10. shedy clever
na wimbo wa zigo umefanywa na nah real pamoja hammy bKama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.
nahreal ni mkali level za beat zake za kimataifaMi Nahreal ndo namba moja
tumuweke yupi dupy/manecky/imma the boyMtoe Shedy Clever twende sawa, hastahili kuingia humo.
Uyo Laizer namuona pang'ang'a producer tu...hamna la maana hapo! Mabiti yake yote mabovu utadhani nyimbo za ma undeground. Kimsingi naona anasafiria nyota ya blaza mondi tu.Mkuu kwani namsingizia kuwa Beat zake Hazina matarumbeta kama tupo harusini?!
na hakuna sehemu ambayo nimesema kuwa jamaa kazi zake hazi-hit mtaani ila lazima ujue kazi ya msanii ku-hit kuna mambo mengi nyuma yake sio producer peke yake.
Ipo wazi labda uwe mbishi tu jamaa uwezo wake ni kawaida mno zaidi ni kuwa anafanya kazi na diamond na hiko ndio kinachomuweka juu.
Ila dogo agusi kabisa level za Mr.T touch au hata Bob Manecky kama unabisha sikiliza ngoma ya Juma Jux Wivu utaelewa zaidi.