Huyu Laizer wa WCB ni habari nyingine

Huyu Laizer wa WCB ni habari nyingine

Daah ila inashangaza jamaa unamwita Matarumbeta ila kazi zake zinakubalika kwenye jamii na zinahit haswaa.View attachment 440909
Mkuu kwani namsingizia kuwa Beat zake Hazina matarumbeta kama tupo harusini?!

na hakuna sehemu ambayo nimesema kuwa jamaa kazi zake hazi-hit mtaani ila lazima ujue kazi ya msanii ku-hit kuna mambo mengi nyuma yake sio producer peke yake.

Ipo wazi labda uwe mbishi tu jamaa uwezo wake ni kawaida mno zaidi ni kuwa anafanya kazi na diamond na hiko ndio kinachomuweka juu.

Ila dogo agusi kabisa level za Mr.T touch au hata Bob Manecky kama unabisha sikiliza ngoma ya Juma Jux Wivu utaelewa zaidi.
 
Nisha nae ni Producer?
Yea Nisher ni Producer mkuu...na kule ndipo alipoanza ila kwenye video ndio kumempa jina zaidi.

Ngoma yake ya mwisho kufanya inaitwa Bendera ya chuma ambayo alifanya Fid Q.
 
Hizo beat Za matarumbeta kila wimbo ndio kinachofanya umuone jamaa mkali?!

Huyo anatembelea nyota ya Diamond ni kama wakati ule ilivyokuwa kwa Shedy Clever baada ya kufanya my number one na Diamond kutoka pale hakuna kitu.

Kwa sasa producer bora ni T touch achana na huyo Laizer anaetamba kwa mgongo wa Diamond.
Unakili wewe wambie wakupe soda Mr T touch kweli ni Technical touch hakosei touch matatu sasa msikilize darasa hatariiii
 
Mkuu kwani namsingizia kuwa Beat zake Hazina matarumbeta kama tupo harusini?!

na hakuna sehemu ambayo nimesema kuwa jamaa kazi zake hazi-hit mtaani ila lazima ujue kazi ya msanii ku-hit kuna mambo mengi nyuma yake sio producer peke yake.

Ipo wazi labda uwe mbishi tu jamaa uwezo wake ni kawaida mno zaidi ni kuwa anafanya kazi na diamond na hiko ndio kinachomuweka juu.

Ila dogo agusi kabisa level za Mr.T touch au hata Bob Manecky kama unabisha sikiliza ngoma ya Juma Jux Wivu utaelewa zaidi.
Hawezi gusa huko....bado mdogo sana katika ideas za kutengeneza Good Music...........Kuna wataalamu kama Nahreel.....Tud....Ima.....T-Touch.....Man Water.......Hawa ni baadhi tu ya maproducer wa muda wote............
 
Hawezi gusa huko....bado mdogo sana katika ideas za kutengeneza Good Music...........Kuna wataalamu kama Nahreel.....Tud....Ima.....T-Touch.....Man Water.......Hawa ni baadhi tu ya maproducer wa muda wote............
Kwenye Ngoma nyingi za Wcb hizo za Laizer kuna uhariri wa Tud ndio sound Engineer wa wasafi;huyo dogo bado kuwafunika akina Tudy
 
Kwenye Ngoma nyingi za Wcb hizo za Laizer kuna uhariri wa Tud ndio sound Engineer wa wasafi;huyo dogo bado kuwafunika akina Tudy
Okey kama kuna joint nzuri kama hizo......Hakuna shida......washirikiane vyema......MUZIK inakua.............
 
Nisher na hanscana c madirecter wanaingiaje hapo kwa produser jamani bt jamaa anatembelea nyota ya wasafi,WCB hata upige marimba watu wataimba2 ila kiboko yao ni IMA the boy
 
Hamna kitu huyo sema ww ni shabiki wa wcb ndio maana unataka wote tuwakubali hao wcb narudia tena hamna producer hapo
 
Nisher na hanscana c madirecter wanaingiaje hapo kwa produser jamani bt jamaa anatembelea nyota ya wasafi,WCB hata upige marimba watu wataimba2 ila kiboko yao ni IMA the boy
Nisher ni Producer

Hanscana ni Music Director

Wewe ni wa wapi?
 
Habarini Wakuu,

WCB is a really music classic group currently, ni kundi ambalo linafanya vizuri mpaka mtu unaogopa hata kuwadis wanamuziki wake kama si kuona aibu kuwaongelea negatively...kwasababu utachekwa na wengi tena sio wabongo tu.

Miongoni mwa sababu kubwa ya wao kufanya vizuri ni Utaalam, Utundu na Uwezo wa Producer makini Laizer.

Diamond huwa anaona sana Fursa.

Diamond ndio alimwomba Laizer awe producer wake wakati alipokutana naye Kigoma, wakati huo Laizer akiproduce local musics za kimanyema, lakini zaidi akifanya kazi zake nzuri sana huko Burundi.

-Nimemsikiliza jamaa akihojiwa kwenye mtandao wa www.perfect255 jamaa hana matambo na makuu na anajieleza vizuri kweli.

-Ni producer yupi kwasasa utamlinganisha na huyu Laizer? Kwasababu kina Nisher naona washapotezwa kabisa na hata Director Hanscana hasikiki kivile tena.

■ Miongoni mwa kazi zake hatari ni

-Matatizo-Harmonize
-Kwetu-Raymond
-Sugu-Raymond na
-Inde ya Dully Sykes na Harmonize.

Pongezi nyingi kwa huyu dogo.
Kuna mmoja huyo dogo yuko A town kundi jipya na geni, producer mpya kabisa kundi linaitwa TAMSNATION
Dogo wanajua sana producer mkali kuna ngoma kapiga yenye genre ya rock sema haiijawa released ningewatupia naimani wakisikika tuu ni mwendo wa lami.
 
1480418560594.jpg
 
Nisher ni producer...competitor wa Laizer hata kama hajatangaza

Hanscana alikuwa ni director wa kuitwa itwa na kusifiwa kwa kiila track ya Diamond ila sikuhiz ni Laizer tuu

Ujui ulisemalo tofautisha kwanza Music Producer na video Directors afu uje uendeleze sifa zako kwa huyu lizer
 
Back
Top Bottom