Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatum-jaji T Touch kwa wimbo mmoja kwanza ujue ilo.Kama Una sikio la muziki utajua tu kuwa hata huyo T-Touch ameingiza vionjo vya wimbo wa AY na Diamond-Zigo kwenye wimbo wa Darasa pia humohumo ametumia vionjo vya wimbo wa Maria Salome ambazo ni WCB Copy.Ametupoteza kidogo kwa kutupia vionjo vya Raga ambavyo pia ukivisikiliza vinarudi kwenye kamatia chini ya Navykenzo.Hakuna jipya chini ya jua.
Nisher ni producer, director na musician piaNisha nae ni Producer?
Hivi wewe unajitambua?Nisher na Hanscana unatuchanganyia masusu kwa sisi wanyakyusa, mavi ya kuku maana Hao ni video Directors na sio Audio producers
Na Tud Thomas._kwenye Ngoma ya Lover boy ya Barnaber...Mr.T Touch katisha sana kwenye Ngoma ya Darassa ft Ben Po-Muziki
Sasa mimi kama sio Producer naanzaje kutengeneza Mziki?!Sina jazba...nashangaa unavyo ponda kazi za watu...wakati hatusikii kazi zako
Khaa[emoji12] [emoji12] [emoji12] hujui Nisher kuwa nae ni video director mamaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi wewe unajitambua?
NISHER (Mtoto wa Geor Davie) ni producer na ameshatengeneza ngoma nyingi tu. Na hata alishapewa Award, google utamsikia.
HANSCANA ni video director, na hakuna mahali nimesema ni Producer.
Kama nimesema ni producer hebu nioneshe ni wapi?
We kweli Kweupee kabisa.Sasa wewe kama sio producer unawezaje kucomment kitu ambacho sio proffesion yako....hata wangekuja ma producer wasingesema hivyo..wangeshauri nini kifanyike..mkuu...afu unajibu kama mtoto wa kike....jifunze kuandika vizuri...na heshimu kazi za watu
Wasenge Classic BabyHabarini Wakuu,
WCB is a really music classic group currently, ni kundi ambalo linafanya vizuri mpaka mtu unaogopa hata kuwadis wanamuziki wake kama si kuona aibu kuwaongelea negatively...kwasababu utachekwa na wengi tena sio wabongo tu.
Miongoni mwa sababu kubwa ya wao kufanya vizuri ni Utaalam, Utundu na Uwezo wa Producer makini Laizer.
Diamond huwa anaona sana Fursa.
Diamond ndio alimwomba Laizer awe producer wake wakati alipokutana naye Kigoma, wakati huo Laizer akiproduce local musics za kimanyema, lakini zaidi akifanya kazi zake nzuri sana huko Burundi.
-Nimemsikiliza jamaa akihojiwa kwenye mtandao wa www.perfect255 jamaa hana matambo na makuu na anajieleza vizuri kweli.
-Ni producer yupi kwasasa utamlinganisha na huyu Laizer? Kwasababu kina Nisher naona washapotezwa kabisa na hata Director Hanscana hasikiki kivile tena.
■ Miongoni mwa kazi zake hatari ni
-Matatizo-Harmonize
-Kwetu-Raymond
-Sugu-Raymond na
-Inde ya Dully Sykes na Harmonize.
Pongezi nyingi kwa huyu dogo.
Uyo Laizer namuona pang'ang'a producer tu...hamna la maana hapo! Mabiti yake yote mabovu utadhani nyimbo za ma undeground. Kimsingi naona anasafiria nyota ya blaza mondi tu.
Producer mukaree ni luffa tu kwa sasa.