Power Benq
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 548
- 456
Ni Ball JugglerAkina Athuman china. Marota soma born jagla. Ramadhan leni kasongo Athuman bek hatar sana hii aisee daaaah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Hussein Aman Marsha, Hamis Tobias "Gaga". Wengi sanaTatizo la watoto Wa siku hizi wanadhani wachezaji Wa zamani hawakiwa na uwezo kwa sababu wengi wao hawakufanikiwa kwenda nje, Mimi nimeangalia ligi ya tz tangu mwaka 1990 (sio kusikiliza)....nakwambia inawezekana wachezaji Wa tz hawakufanikiwa kucheza ulaya kwa sababu ya kukosa exposure na bahati..lakini nakuhakikishia tz kumepita vipaji vya hali ya juu na kama wachezaji Wa kipindi kile wangekuwa wanacheza sasa hivi,tungekuwa na akina Samata zaidi ya 20, to be honest tangu nianze kuangalia mpira Wa tz, edibil lunyamila ni no 1 sijamuona zaidi yake...bahati mbaya cleap za video hazipo
17 PHD these are results
Sure homeboy. Sasa itakuwa nipe nikupe au zamu yako niendelee?Achana nae huyo, untafute Mie achana na Mijitu ya bara
Hao ndiyo wazalendoWaganda hawawezi kumsahau Lunyamila...Moja ya mawinga bora Afrika ishawahi kuwa nao...
Halafu kuna wakati alipata timu Ujerumani, lakini mechi ya Simba na Yanga ilimpotezea hiyo nafasi maana alitoroka huko ughaibuni kabla ya kusaini ili tu arudi kuichezea Yanga...
Jackson Mayanja kocha wa simba anamjua vizuri Lunyamila