Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ww mkeo humpendi ww ni kijana wa hovyo muhunu tuu eti sex ndo ikupeleke kwa mwanamke na umri wote uwo bado sex inakuchanganya vijana wadogo nd0 huchanganyikiwa na sex sio ww mtu mzima ila mwisho wako mbaya sana mzee kuwa makini usicheze na wanawake...
 
Pacha Pa kunoga unapajua? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu tuliza ball kwan, pale kati patamu bhana, au unajisahaulisha.
Pacha nina hasira sana na huyu mkuu...haiwezekani anapoteza hela kwa michepuko daily wakati kila siku wanae wa damu tunawanunulia vitumbua pale kinyerezi 😄😄
 
Huyo mwanamke hakupendi hata kidogo ila anapenda pesa zako. Majuto mkuu yanakuja. Shauri zako
 
Uyo mwanamke hakufai na Hana shukrani....Achana nae anakutumia kama kitega uchumi tu hakupendi Ata kidogo.
 
Uyo mwanamke hakufai na Hana shukrani....Achana nae anakutumia kama kitega uchumi tu hakupendi Ata kidogo.
Unaongea nn ujaona uzi aliyopandisha huyu jamaa siku ya Valentine mamb ya kiwaki aliyoyafanya sijui anatafuta nn ktk papuchi za ndugu moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…