Unajua uyu mwanamke hata simpendi kivile Kama nnavompenda wife wang, ndo maana akizingua Namimi namzingua vile vile.
Sema kwenye suala la sex nmeshindwa kabisa kumpata mbadala wake.
She's very special in this area.
Sijui hata nielezeje niweze eleweka mkuu.
Kuna MDA namzingua kwelikweli na nasema apa tunaachana, ila nnapokua na nyege mtu wa kwanza kumuwazia Ni yeye.
Ndo maana Kuna MDA kweli naona napoteza Sana pesa&muda sn kwake,
ila akili inanambia nichukulie POA TU maana sijapata bado mbadala wake.
Ila Akipatikana mi napiga chini fasta.
Ngoja niendelee kukimbizana na uyu uyu msumbufu wangu mkuu, tutanyooshana hivo hivo mpk kitakapoeleweka uko mbele ya Safar.