Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ila Sasa baada ya zile harakat za ugomvi ugomvi kuisha.
Dogo akamuomba dada ake arudi hostel ili apate MDA wa kujisomea vizur na wenzie maana uku mitaani anakosa KABISA utulivu. Dada ake kanishirikisha. Namimi nikaafiki,
MAANA pia nikaona ile Ni advantage nzur sana kwangu kua namchakata Dogo kwa Uhuru uko mitaani kuliko vile alivokua anaishi pale pale kwa dada ake. KUJIBANA KUNAKUA KWINGI MNO.

Basi maisha yanaendelea nikiwa nakula dada na mdg wake kisiri siri. Ila Sasa Dogo nae akawa Kam vile kazidisha mahaba Kwangu akawa ananiletea habar za kutaka kuzaa na Mimi, nikawa namkwepa kwa style ile ile nnayomkwepea dada ake TUSIZAE.

Hapo Sasa bajeti zangu zikawa zinanibana sana kuwabalance kuwahudumia wote wawili, uku bado na familia yangu nayo inahitaji matunzo.
Nikawaza, Uyu dada mtu ni mwenye kazi nikawa namhesabia posho ya meza elfu 5 kila siku, Dogo Nikawa nampa posho ya ya elfu 10 maana dogo yy Hana kazi na bado anasoma.

Dada mtu akaanza kunung'unika kua simjali sikuhizi,
nikamwambia
" Wee Hali ya uchumi ni ngumu ibajeti buku 5 hivo hivo. UPUUZ upuuz wako na yule mwalimu wako mpumbav mwenzako ndo umeniyumbishia mtaji wangu. Ongezea na posho yako ya KAZIni uishi"

Akawa kakubali hivo hivo ila kishingo upande.

Basi Tukaenda, kwa utulivu Sana Kama miez 3 mbele mahaba yakawa yamerejea upya kwa dada mtu.
Dada mtu akarudi kwenye performance yake ya mwanzo,
Dogo mtu nikawa simfurahii sana Kama nilivokua namfurahia sana dada mtu Kunako 6×6.
Mahaba yakawa Kama yamerudi upya.

Baadae kdg yule boda boda alonitaftia nyumba, Akanambia kuna jamaa anauza pagale lake la vyumba viwili na sebule Bei ya kutupa sana mitaa ile Ile sio mbali Sana na alikopanga mchepuko wangu uyo. Kama vipi nilinunue nikarabati niuze kwa faida.
Akanipeleka nikaliona.

Akilini Nikawaza hivi nikilinunua nikalimalizia si itanipunguzia hizi gharama za kodi nnazolipa hapa kwa mchepuko?[emoji848]

Basi nikamshirikisha, akafurahi Sana.
Akanambia nifanye hima nilipie lisije chukuliwa na mwingine.
Basi kweli nikaenda lipia Lile pagale cash Kisha nikawaita mafundi wangu waanze kulikarabati kuinua kozi za juu ya linta na kumodify ramani ile.
Ikabaki kufunika juu na finishing.

Basi nikamwambia mchepuko kua huko kwenye finishing na kufunika ntakufanya ntakapotoka Safar, maana Hapa katkat nnasafar ya kwenda kupakia mzgo wa dukan.
Kwaiyo kwenye Oda ya mzigo wang wa dukan ntajumuisha material zote za finishing na kufunika. Mzigo wote utakuja kwa pamoja.
Akawa kabisha kua anahamu ya kuhamia HARAKA HARAKA. Kama vipi yeye aanze kukarabati kwa Ela yake kidg kidg.
Nikamwambia sijakuruhusu. Unisubir mpk nirudi

Basi kazi ikawa imesimama saiti, nikamuachia Ela ya kula ya wiki 2 70,000 Kisha nikaenda zangu Safar.

Sasa kwa kung'ang'ania kwake yule mwanamke siku moja nikiwa safari fundi wangu Akanambia kua mwanamke yule leo kaleta tripu 2 za mchanga saiti.
Nikamwambia Kodi Gari nyingine ikasombe mchanga ule ukamwagwe kwa mchepuko, Sitaki kuukuta saiti wala utumike saiti kwangu.
Fundi akafanya hivo.
(Hapa nilikataa asichangie CHOCHOTE maksudi maana akichangia chochote kesho hachelewi kunigeuka Kama alivonigeuka siku ile kwenye Kodi. NISHAPATA FUNZO)

Inaendelea......
 
Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.

Sasa kwa bahat mbaya nilivoenda kupakia, nkakuta Bei za vitu zimepanda Sana uko. Ikabd Ile bajet nlotenga kununulia material za ujenz niongeze nichukue mzigo wa duka Kama nilivopanga. Nkasema huu ujenz upo ntaendelea nao baadae. Nizungushe kwanza. Afu vitu vingine nkavikosa vya muhimu nkavikosa ikabid nirudi baada ya siku 5 tu badala ya wiki 2 Kama nilivopanga awali.

Sasa Nilivorudi nkakuta mwenzangu kanuna, Basi ukawa mzozo akilalamika kwann nmeukataa mchanga wake. Yakawa Kama yameisha.
Tukasex kisha nikaondoka bila KUACHA posho ya meza.

Baada ya siku 2 Tena nkaenda kusex nae, Kisha nkaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Ile natoka mlangoni Akanivuta kusema
"Hivi wee Mwanaume unanichukuliaje Mimi? Umeniona mi takataka Sana sio?"

Nkauliza "kwann?"

Akasema "Yaan unakuja,unaondoka TU hata ela ya kula huachi.
Kwenye Ujenzi nako sikuelewi elewi naona umerudi ila Sioni material wala ukiendeleza ujenzi
Ilianza unatoa elfu 15, ukaja elfu 5, sikuhizi naona huachi KABISA.
Hivi wee unahisi mi naishije hapa ndani? Au nimekua jini Mimi?"

Nikawa nimecheka nikamwambia
"kwani Maneno yote Ayo yanatoka wapi mpnz wang, wee sinilishakuachia Ela ya kula wiki 2? , leo wiki ya pili ndo imeanza unaniombaje Ela sasa?"

Akasema,
"Unaemchekea Nani,hapa utoki Lazima unaichie Ela..." Uku ananisachi.

Nikawa namtoa hatoki anaendelea kunikagua mifukoni, nikona uyu mpumbavu.
Nikamziba Kofi, akaiachia suruali yangu.

Nikamwambia,
"ukome na uwe na adabu unapokua unaongea na mm, tabia ya kunisachi Ni ya kimalaya na ife Mara Mona. Usije unarudia huo upuuzi Tena"

Basi nikaondoka zangu.
Sasa kesho yake Sina hili Wala Lile wakapitishwa samaki wazur Sana dukan kwangu.
Nikanunua mafungu mawili, moja likapelekwa kwangu jingine nikamtuma bodaboda wake ampeleke mchepuko kwake.

Basi baadae boda Akanambia kafikisha mzigo, ikabd Nimpigie kumjulisha achukue samak mmoja anichemshie supu jion ntapitia kunywa. Akawa hapokei.
Basi nikamtumia sms.

Ile jion nikapitia kwake kunywa supu yangu, Ila nafika nagonga akaja mlangon akasimama wima.

Akasema,
"Eeh baba wee, ishia uko. Ukitaka kuingia nyumba hii tekeleza nnayoyataka"

Nkamuuliza "yapi Ayo"
Akasema
" kwanza-uwe unanipa elfu 20 yakula kila siku
Pili- unimalizie ile nyumba ndani ya mwezi huu
Tatu- uweke zamu yakulala kwangu.
Huwez kutekeleza Ayo Basi ISHIA HAPO HAPO NJE"

Nkamwambia "sawa"

AkAuliza
"Iyo sawa maana ake Nini, afu ilo jibu lako silipendi linanikera Sana"

Nkamwambia ,
"Sawa maana ake siwez kutelekeza Ayo unayoyahitaji kwa Sasa"

Akasema "aya, ishia huko huko. Wako wanaume wengi sana Kama wewe wanaoweza kutimiza nnayoyahitaji"

Nkamwambia "sawa wakakutimizie Basi"

Akasema " akarud ndan na kufunga mlango wake"

Sasa,
Nikabaki pale nje nimeduwaa, maswali mengi kichwani. Kisha nikaenda zangu nyumbani.

Ni siku ya 5 Sasa karudi kwenye ule utaratibu wake w zamani wa kurusha vijembe status,

Naziona status zake kibao kila Mara, nabaki najiuliza.

[emoji117]Hivi uyu mwanamke ananichukuliaje kwanza?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajiona special Sana eeh?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kua hapo anapokaa Kodi anahamia nmelipia mm?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua Apo anapojimwambafai nishapita na mdg wake?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kwamba Apo anapofanya kazi yupo kwa mgongo wangu mimi[emoji848]
[emoji117]Au nimuundie zengwe Tena ahangaike na Dunia ili akili imkae[emoji848]

Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI[emoji848]

Mwisho
 
Imeenda mpk post no. 22 ndo mwisho
Boss nashauri now weka mapenzi pembeni, hilo pagale malizia na hakikisha ni mali yako, na ingependeza mke mkubwa alijue ili akileta usanii aingie anga za ukweli ambazo hawezi rudi tena kuleta ujinga.

Ila huyo dogo wa chuo safi, alipaswa ndio awe part two, anaonekana anajielewa.

Umenifundisha kitu, kumbe ukiwa na pesa hawa viumbe sio poa wanaweza hata kukutoa roho usipokua mkali.
 
Basi Mwanamke yule akanitafuta anagomba kwann nmefanya vile, nmemdharau sana, nmeona ela yake hainathaman, sio utu ule yeye kachangia kwa Nia njema maana ananipenda. Nkamwambia tutayazungumza nikisharudi. Nikakata sim.

Sasa kwa bahat mbaya nilivoenda kupakia, nkakuta Bei za vitu zimepanda Sana uko. Ikabd Ile bajet nlotenga kununulia material za ujenz niongeze nichukue mzigo wa duka Kama nilivopanga. Nkasema huu ujenz upo ntaendelea nao baadae. Nizungushe kwanza. Afu vitu vingine nkavikosa vya muhimu nkavikosa ikabid nirudi baada ya siku 5 tu badala ya wiki 2 Kama nilivopanga awali.

Sasa Nilivorudi nkakuta mwenzangu kanuna, Basi ukawa mzozo akilalamika kwann nmeukataa mchanga wake. Yakawa Kama yameisha.
Tukasex kisha nikaondoka bila KUACHA posho ya meza.

Baada ya siku 2 Tena nkaenda kusex nae, Kisha nkaondoka bila KUACHA posho ya meza.
Ile natoka mlangoni Akanivuta kusema
"Hivi wee Mwanaume unanichukuliaje Mimi? Umeniona mi takataka Sana sio?"

Nkauliza "kwann?"

Akasema "Yaan unakuja,unaondoka TU hata ela ya kula huachi.
Kwenye Ujenzi nako sikuelewi elewi naona umerudi ila Sioni material wala ukiendeleza ujenzi
Ilianza unatoa elfu 15, ukaja elfu 5, sikuhizi naona huachi KABISA.
Hivi wee unahisi mi naishije hapa ndani? Au nimekua jini Mimi?"

Nikawa nimecheka nikamwambia
"kwani Maneno yote Ayo yanatoka wapi mpnz wang, wee sinilishakuachia Ela ya kula wiki 2? , leo wiki ya pili ndo imeanza unaniombaje Ela sasa?"

Akasema,
"Unaemchekea Nani,hapa utoki Lazima unaichie Ela..." Uku ananisachi.

Nikawa namtoa hatoki anaendelea kunikagua mifukoni, nikona uyu mpumbavu.
Nikamziba Kofi, akaiachia suruali yangu.

Nikamwambia,
"ukome na uwe na adabu unapokua unaongea na mm, tabia ya kunisachi Ni ya kimalaya na ife Mara Mona. Usije unarudia huo upuuzi Tena"

Basi nikaondoka zangu.
Sasa kesho yake Sina hili Wala Lile wakapitishwa samaki wazur Sana dukan kwangu.
Nikanunua mafungu mawili, moja likapelekwa kwangu jingine nikamtuma bodaboda wake ampeleke mchepuko kwake.

Basi baadae boda Akanambia kafikisha mzigo, ikabd Nimpigie kumjulisha achukue samak mmoja anichemshie supu jion ntapitia kunywa. Akawa hapokei.
Basi nikamtumia sms.

Ile jion nikapitia kwake kunywa supu yangu, Ila nafika nagonga akaja mlangon akasimama wima.

Akasema,
"Eeh baba wee, ishia uko. Ukitaka kuingia nyumba hii tekeleza nnayoyataka"

Nkamuuliza "yapi Ayo"
Akasema
" kwanza-uwe unanipa elfu 20 yakula kila siku
Pili- unimalizie ile nyumba ndani ya mwezi huu
Tatu- uweke zamu yakulala kwangu.
Huwez kutekeleza Ayo Basi ISHIA HAPO HAPO NJE"

Nkamwambia "sawa"

AkAuliza
"Iyo sawa maana ake Nini, afu ilo jibu lako silipendi linanikera Sana"

Nkamwambia ,
"Sawa maana ake siwez kutelekeza Ayo unayoyahitaji kwa Sasa"

Akasema "aya, ishia huko huko. Wako wanaume wengi sana Kama wewe wanaoweza kutimiza nnayoyahitaji"

Nkamwambia "sawa wakakutimizie Basi"

Akasema " akarud ndan na kufunga mlango wake"

Sasa,
Nikabaki pale nje nimeduwaa, maswali mengi kichwani. Kisha nikaenda zangu nyumbani.

Ni siku ya 5 Sasa karudi kwenye ule utaratibu wake w zamani wa kurusha vijembe status,

Naziona status zake kibao kila Mara, nabaki najiuliza.

[emoji117]Hivi uyu mwanamke ananichukuliaje kwanza?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajiona special Sana eeh?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kua hapo anapokaa Kodi anahamia nmelipia mm?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua Apo anapojimwambafai nishapita na mdg wake?[emoji848]
[emoji117]Hivi anajua kwamba Apo anapofanya kazi yupo kwa mgongo wangu mimi[emoji848]
[emoji117]Au nimuundie zengwe Tena ahangaike na Dunia ili akili imkae[emoji848]

Wakuu mnisaidieni
Je, NIMWAMBIE UKWELI AU NIMUACHE AENDEEE KUJIMWAMBAFAI[emoji848]

Mwisho
Kaka mkubwa huyo Dem achana nae..... huyo mdg ake achana nae.....rudi kwa mkeo.... usipoteze muda kwa mtu asokua na akili!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kaka mkubwa huyo Dem achana nae..... huyo mdg ake achana nae.....rudi kwa mkeo.... usipoteze muda kwa mtu asokua na akili!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Yaan Ni changamoto Sana mkuu
images-508.jpg
 
Ila wanaume mhh kiboko aisee!!! Achana nae stress akupe mkeo bwana sio mchepuko, halafu mchepuko unakudanga tu wala hakupendi ukisikia mtu kitu ndio huyo sasa... ila Jamani hujionei huruma kweli mbona majukumu mengi hivyo.. hebu waache basi
Tunapitia mengi,
Na nashkuru humu huwa napata fursa ya kufunguka ya moyoni.

Visa Ni vingi sana MDA Ni mchache[emoji4]
 
Back
Top Bottom