Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

Ana camel toe, ana utelezi mwingi ana maji lazima unase rafiki yangu, pole nimesoma yote hadi kulowana, unaonekana mbabe sana wewe juu ya kitanda

Ushauri wangu achana na huyo mchepuko atakuharibia sana pole rafiki
Nmefurah Sana kukuona apa RAFIKI[emoji4]
 
Mwisho na simu yangu ndio imefika 1% asante kwa story ndefu ila kisa ungekifupisha tu! Kimemaliza chaji yangu[emoji28][emoji28][emoji28]sema huyo demu mchepuko wako kwa hizo tabia kama sio mchaga basi mniuwe!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona hata sio mchaga mkuu
 
Mkuu...hapo umenasa wewe...huyo dem huezi kumuacha ila jitahid nyumba usimpe wala mimba usimpe...halafu sa hv wekeza home...ujue malaya kumuacha ni ngumu sana tatizo lao hawana shukrani na hawakumbuki fadhila...

Kingine pia wanaongezea na kauchawi kidooogo....!
Angekuwa mjanja hiyo nyumba angenunua akarabati bila mchepuko kujua alafu mda ukifika amhamishie tu pale amdanganye wamepanga kwa mtu ambaye siyo msumbufu.
 
Mwisho na simu yangu ndio imefika 1% asante kwa story ndefu ila kisa ungekifupisha tu! Kimemaliza chaji yangu[emoji28][emoji28][emoji28]sema huyo demu mchepuko wako kwa hizo tabia kama sio mchaga basi mniuwe!!!
Hapa kweyewe Kuna vitu nmeviacha,
nlkua naandika mwezi mzima huu kidg kidg.

Leo ndo nmechoka nikaiachia[emoji4]
 
[emoji4]
images-517.jpg
 
Yaan ujue mkuu kuna mda nlikua onja onja kutafta mbadala wake ila nikashindwa.

Kuna ile Hali unajikuta unasex na mwanamke mwngine afu unajikuta hauenjoy kabisa ile moment.

Unajikuta unammiss Katikati ya tendo, sometimes hata bao kupiga Lazima utengeneze picha yake kichwani kua uko na yeye ndo nikojoe.

Kuna vitu ukisema watasema nimerogwa, ila ukweli yapo na yanatukuta wanaume wengi Sana.
Hapo uko sahihi maana huwa viumbe wanatofautiana sana hasa kwenye mach
 
Kuna akili inaniambia hii ni chai tu, tafuta chapati mbili kabla haijapoa...

Kuna akili inaniambia hii ni kisa cha kweli, kwa jinsi ulivyokisimulia...

Sasa iwe kweli au chai, mkuu usitumie kichwa kufugia nywele tu...
 
Mkuu...hapo umenasa wewe...huyo dem huezi kumuacha ila jitahid nyumba usimpe wala mimba usimpe...halafu sa hv wekeza home...ujue malaya kumuacha ni ngumu sana tatizo lao hawana shukrani na hawakumbuki fadhila...

Kingine pia wanaongezea na kauchawi kidooogo....!
Vingi nmefupisha,
Kwenye nyumba alitaka nimpe pesa mwnyw akalipie akabidhiwe documents.

Nikamwambia pesa ntakuja nazo mwnyw, siku ya kulipia namakabidhiano saiti. nikamwambia muuzaji, serikali na mashahidi wake kua sijaja uku na cash kwa ajili ya usalama.

Kwaiyo tuambatane mpk dukan nikakupe pesa yako, mwanamke akataka tuongozane.

Nkamwambia wee Baki hapa, tutaonana jioni.

Documents zote nikaandika jina langu, mashahidi wakawa RAFIKI zangu TU. Biashara ikawa imeisha ivyo.
 
Kuna akili inaniambia hii ni chai tu, tafuta chapati mbili kabla haijapoa...

Kuna akili inaniambia hii ni kisa cha kweli, kwa jinsi ulivyokisimulia...

Sasa iwe kweli au chai, mkuu usitumie kichwa kufugia nywele tu...
Hii ni true story of my life, hamna hate chembe ya chumvi Wala chai hapa.
 
Story nzuri sana, kwanza unaonekana uchumi wako upo stable, hongera mkuu, pili huyo mwanamke sijui kakuwekea kitu gani. Ningeshamuacha zamani sana.
Yaan mkuu uyu mwanamke ni changamoto sana
 
Unawezaje kuwa na mtu wa namna hiyo? Ana kitu gani ambacho wengine hawana hadi kumngangania hivyo?
Unajua uyu mwanamke hata simpendi kivile Kama nnavompenda wife wang, ndo maana akizingua Namimi namzingua vile vile.

Sema kwenye suala la sex nmeshindwa kabisa kumpata mbadala wake.

She's very special in this area.
Sijui hata nielezeje niweze eleweka mkuu.

Kuna MDA namzingua kwelikweli na nasema apa tunaachana, ila nnapokua na nyege mtu wa kwanza kumuwazia Ni yeye.

Ndo maana Kuna MDA kweli naona napoteza Sana pesa&muda sn kwake,

ila akili inanambia nichukulie POA TU maana sijapata bado mbadala wake.
Ila Akipatikana mi napiga chini fasta.

Ngoja niendelee kukimbizana na uyu uyu msumbufu wangu mkuu, tutanyooshana hivo hivo mpk kitakapoeleweka uko mbele ya Safar.
 
Back
Top Bottom