Nakutakia mafanikio mema maana ni yako ila usije kulalamika kama wale wa Forex tuliwaonya lakini sikio la kufa!Eti eeh haya bhana, Kila mtu yuko huru humu kumuamini umtakae mi nimechagua kumuamini yeye km ulivyosema nimepatikana😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutakia mafanikio mema maana ni yako ila usije kulalamika kama wale wa Forex tuliwaonya lakini sikio la kufa!Eti eeh haya bhana, Kila mtu yuko huru humu kumuamini umtakae mi nimechagua kumuamini yeye km ulivyosema nimepatikana😂
Oh cheza na wavulana anaweza kula hata 10 kwa siku maana ni mwendo wa jogooYani wanavyomwandama. Sasa atatubebea wapi si wote...kwenye kirikuu auu alphard maana si kwa lele lele hzoo
Endelea na maisha kaka usiumize Sana kichwa kwa ajili yanguNakutakia mafanikio mema maana ni yako ila usije kulalamika kama wale wa Forex tuliwaonya lakini sikio la kufa!
Boss, NARUDIA TENA ieleweke vizur.Naona umepatikana! Binti Nadhani humu ndani kuna wale waliosoma vitabu vya David G. Maillu. Vitabu kama After four thirty, son of a woman nakadhalika. Nakumbuka Nyerere alivipiga marufuku ila wakati wa balehe tulikuwa tunavisoma na wakati huo tukivisoma ni ccm juu tu hadi tunajichafua. Hii story ni ya kusadikika na kama Watu8 alivyotuasa anatafuta Wanawake wahanga ili apate k za bure humu JF. Hakuna mhanga anayeweza kutamka kuwa anasaka k za bure! Kazi kwako
Itakuwa starehe zetu tunafanana😂😂😂Si uwe tu km mimi
Me mwenzio bia walaaaaa
Wine mara moja moja kwa afya na nikozidi sana redds.
Nliwahi jaribu konyagi kweli haikuwa worse km bia ila nkaona mhhh sio maisha yangu nkamute.
Kuna harufu ya wivu nimeinusa jamaa kateka attention ya wadada kwenye hili jukwaa,Yani wanavyomwandama. Sasa atatubebea wapi si wote...kwenye kirikuu auu alphard maana si kwa lele lele hzoo
Ahsante dear nilikua sijapita hapa
achana nao chief...sisi Me wenzako unatu inspaya[emoji23][emoji23][emoji23] achana na wapuuzi wachacheCan you imagine Kuna mtu uko aliko anaumia sana kuona Kuna Uzi huu unavotrend na watu wanafurahi[emoji4]
Can you imagine Kuna mtu uko aliko anamuwazia mabaya sn mleta uzi wakti hata hamjui kiundani[emoji4]
Can you imagine, Kuna mtu uko aliko hata hajui Uzi huu umesaidia wangapi hasa kwny maswala mazima ya mahusiano.[emoji4]
Kiukweli,
YAANI NI CHUKI JUU YA CHUKI na kiroho Cha kwanini[emoji4]
Yaan Hapo ndo Utaamini Kuna wachawi wengine wanazaliwa,
yaan Ni NATURALLY anazaliwa anaroho ya uchawi ndani yake[emoji4]
Ni AKIBOOSTIWA KIDOGO tu, anapaa kabisa[emoji4]
Tuendelee kufurahi bhana,Iyo Ni changamsha Genge bhana[emoji4].
Hili Ni Jiwe Gizani[emoji109][emoji4]
😂😂😂Jamaa uko aliko anateseka Sana eti[emoji3]
Sio vizuri wenzio wana ukame lazima wakuone tapeli na hadithi zakoMaraha matamu bhana[emoji4]
Kwahiyo hizo siku 3 ndiyo zinakupa muda wa kuwa na hawara kwa raha zako, angalia zisije haribu kila kitu, unazani huyo mchepuko atakuachia tu thubutu! Ila hongera raha jipe mwenyewe!Yuko fresh, Ni Mambo ya jumuiya Zaid maana alofiwa Ni mwanajumuia mwwnzao [emoji4]
Leta visa brother, wengine hatuwezi kuandika visa vyetu humuTunapitia mengi,
Na nashkuru humu huwa napata fursa ya kufunguka ya moyoni.
Visa Ni vingi sana MDA Ni mchache[emoji4]
Never nini! Limbwata linachemka tu humo tumboni soon utahamia huko! [emoji3][emoji3] Hivi wakati unamuuliza yupo wapi! Hapo alijiandaa kuwa lazima utaenda tu hivyo haikuwa bahati mbaya kumkuta vile! Mzalishe nayeye ndiyo utajua!Never[emoji4]