Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? πŸ€”

na kuona kama kuna uwiano wa matarajio katika uhusiano wetu wa kupotezeana mda.

Mke wako hana unayotafuta kwa mchepuko?

Kwanini unakazania tabia hiyo na huyo kutaka kujiletea matatizo maishani.. umeyasoma na kulala na watu tofauti ovyo humu na mabalaa yake.. tafuta threads za kuhusu..

Una tabia mbaya tulia na mkeo
 
Mke wako hana unayotafuta kwa mchepuko?

Kwanini unakazania tabia hiyo na huyo kutaka kujiletea matatizo maishani.. umeyasoma na kulala na watu tofauti ovyo humu na mabalaa yake.. tafuta threads za kuhusu..

Una tabia mbaya tulia na mkeo
Utadhani nyie wanawake ni malaika hua hamchepuki 😏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…