Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? πŸ€”

Ngoja nikupe faida kidogo: Mimi nimefanya ibada sana mpaka nimeanza kufunuliwa siri za ulimwengu wa pili,,,,,, hapa nazungumzia Ruuh, Jinn, Malaika, Mitume, waja wema walotangulia n.k🀝
(Nimetanguliza hii πŸ‘†πŸ‘†... Kupunguza maswali )

Twende kwenye mada:
Hayo mashart ulopewa kwa kigezo Cha siku,,,,,,, n kweli 🀝 Alhamis kuamkia Ijumaa na Jumapili kuamkia Jumatatu ni siku ambazo Kuna kuwa na nguvu nyingi za kiroho..... Ni siku ambazo ibada zinahudhuriwa sana na viumbe wema wa kiroho!!!!

Lakini huyo mchepuko wako nnamashaka nae, huwezi kuwa karibu na malaika na viumbe wema halafu uwe unazini,,,,, haiwezekani haiwezekani, haiwezekaniπŸ€”πŸ€”
(MfanoπŸ‘‰Mimi ni kijana wa kiume ninamiaka 26.... Halafu bado bikra😁
Ndio sababu nnakuwa hivi nilivyo. Kama huamini sikulazimishi)

Huyo mchepuko wako anamikataba na viumbe wa kiroho wabaya (πŸ‘‰mashetwan)
Na hizo ibada anazokuaminisha ni ibada sio ibada unazozifikiria weweβœ‹πŸ½, huyo mchepuko wako kitendo Cha kuingia nae kwenye mahusiano tayari mashetwan wake wanakutizama kwa ukaribu,,,,,,,,, ili uweze kuwa salama ni ubaki kuwa mjinga na uishi kweny masharti yake

Utakuja upitie changamoto hiiπŸ‘‰ Utaingia kwenye ugomvi na mume mwenzako wa kijini ambaye kakubali mshee mke kwa mashart!!!!
Hapo ndipo utajua Kuna Mungu😁😁😁
 
Umeyatimba hapo, dini yao inaruhusu wawe na mahusiano na majini. Hizo siku atakuwa anakuta na mume wake mkubwa usiyemuona.
Balaa kubwa hili... Inawezekana hilo lijamaa linaniibia mchepuko wangu. πŸ€”πŸ€”
 
Huu huzi anapaswa ausome DeepPond kwanza idara hii yupo vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…