Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? πŸ€”

Mke wako hana unayotafuta kwa mchepuko?

Kwanini unakazania tabia hiyo na huyo kutaka kujiletea matatizo maishani.. umeyasoma na kulala na watu tofauti ovyo humu na mabalaa yake.. tafuta threads za kuhusu..

Una tabia mbaya tulia na mkeo
Mkuu, ushauri wako mzuri,

Kilicho ni poza ni ule msemo wa shamba la nyumbani usichume mboga kila simu, angalau unaenda hata kwenye mashamba uliyo kodi sehemu ya mbali kuchuma mboga.
 
Kama ni mchepuko tu unajipigia na kuondoka na huna mpango wa kuoa, masharti hayo unayaogopa ya nini? Umesema mwenyewe "mnapotezeana muda", kubali masharti yote uendelee kujinyoshea mgongo.
 
si ufanye hizo siku zingine anazotaka tu mengine yatajisort mbele bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
We muache tu aendelee nae licha yabkutajiwa majini, siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.
Majin??? Sitak mwanamke hata anayeanguka pepo tu simli. Nakula wale wenye roho wa bwana πŸ˜‚
 
(MfanoπŸ‘‰Mimi ni kijana wa kiume ninamiaka 26.... Halafu bado bikra😁
Ndio sababu nnakuwa hivi nilivyo. Kama huamini sikulazimishi)
Utakuja upitie changamoto hiiπŸ‘‰ Utaingia kwenye ugomvi na mume mwenzako wa kijini ambaye kakubali mshee mke kwa mashart!!!!
Hapo ndipo utajua Kuna Mungu😁😁😁
. Mkuu, nifundishe na mimi upako.. Ili niupambane na huyu shetwani...

. Mkuu kwa nini shetwani anapenda kulamba utelezi wa binadam πŸ€”πŸ€”. Kwa nini asitafune madem wa kishetwani??
 
Atakutoa kafara
Balaa hili 😬😬. Ngoja niaze ibada tu. Maana ratiba ya kumuacha Naona siioni, nimeshikwa maskio haswa. πŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
We muache tu aendelee nae licha yabkutajiwa majini, siku atakapopigwa mtu na majini yamle ndogo na kumkata dushe ndio akil zitakkaa sawa.
Majin??? Sitak mwanamke hata anayeanguka pepo tu simli. Nakula wale wenye roho wa bwana πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚heee sasa anae anguka mapepo utamjuaje? au wakwako mnakutanaga kanisani
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚heee sasa anae anguka mapepo utamjuaje? au wakwako mnakutanaga kanisani
Tukikutana location, Kabla ya kumla namshushia kwanza maombi mazito ya upako ndio mchakato unaanzaa baada ya kuona matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…