Huyu mchepuko ana masharti magumu sana, ni binadamu halisi kweli au nimevamia kambi? πŸ€”

Nguvu ya kujitoa Hamna mkuu.. Maana amenitawala ubongo mazima..
Mm naamini hakuna jambo linaloshindikana siku hizo kadhia zikizidi na kukufikia pabaya utajitoa MUNGU akutie nguvu tunakumbana na mengi kwenye hii micheps
 
Uyo anajini maimuna na izo ndio mashariti yake
 
Sasa unataka Nini jamaa

Mwambie wewe ni jini mkuu utamtembelea hiyo jumanne yako pekee yako nenda ukaone udambwidambwi
Mkuu, unataka nifutike kabisa kwenye uso wa Dunia 😬😬
 
Kama ni mchepuko tu unajipigia na kuondoka na huna mpango wa kuoa, masharti hayo unayaogopa ya nini? Umesema mwenyewe "mnapotezeana muda", kubali masharti yote uendelee kujinyoshea mgongo.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, sawa mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…