Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

hahahaha
 
Ulitaka akuimbishe ? Atakuimbishaje umri umeenda na sura sio rafiki? Maziwa kama papai bovu akuimbishe nani?
Umejichubua utafikiri mhindi koko. Kwendra uko
 
Kaanzisha timbiwili pasi nakujua mshkali ana aina gani ya silaha...aya mziki huo nenda nao sawa nn kimekufanya umchane kamanda kama ni domo zege? Je kama kuna kipotabo ndo ilikuwa ndo target yake hapo mlipo au yy si muumini wa wezele ndo maana akaunyuti.
 
Kwahyo ulimwomba namba?
 
Kama nimeshawahi kutongoza member yeyote pm aseme sitak kuchafuliana hapa aanzishe Uzi mwingine kesii zituangukie kina sieeeee
Haya mlowahi kutongozwa na huyu Bidada ni wakati wenu kuleta ushahidi,mmepewa go-ahead....
 
Poleni sana. Sijui why mnapata shida this much. Watu tuna harakati za maana za maisha ndo maana hata JF tunaonekana kwa nadra sana. So endeleeni kuamini hivyo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Izo harakati za maana ndo utupe idea bro. mana zetu naona hazina mana sijui tunafeli wapi?.Acha tuendelee kujichanga na kina zero IQ
 
Hahahaa aisee! Ila sio kila akuonae lazima akuimbishe, pengine hajavutiwa na wewe
 
Ndio maana sipendi kufungua JF sehemu yenye watu. Na hivi kila siku napitaga maofisini kwa watu kuna siku mtu ataniotea anijue. Dah! Sitaki kabisa.

Anayejua in real life hajui ID yangu JF na wanaonijua ID ya JF hawanijui in real life. Kuna member humu ananifahamu jina langu halisi na namba yangu ya simu anayo, lakini hanijui in person, hata sura yangu haijui. Uzuri naishi kiintelijensia, social media zote hazina picture yangu. Nina account fb haina hata picha yangu 1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…