Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Na wewe kilaza sana... Yaani umeshasahau kipindi kile unanifuata inbox unataka tuwe wapenzi humu JF nikakukatalia ukaamua kumfuata mshana jr? Come on....you should have respect to people who are educated than you. Sometime tunaponyamaza ni sababu we dont wanna spill out the beans.
hahahaha
 
Ulitaka akuimbishe ? Atakuimbishaje umri umeenda na sura sio rafiki? Maziwa kama papai bovu akuimbishe nani?
Umejichubua utafikiri mhindi koko. Kwendra uko
 
Acha panick madam, kwani kutongozana kama mtu umempenda kunaenda kinyume na maadili jamani?

Me binafs mwanamke akintongoza ntampenda kuliko nnayetafuta mwenyewe, maana najua hapo kuna upendo wa kweli.

Sasa hili la kusema umentongoza wala lisikujaze ghadhabu.

Hilo kakupiga nalo kukudhoofisha kama silaha yake ya kukunyamazisha.
Kaanzisha timbiwili pasi nakujua mshkali ana aina gani ya silaha...aya mziki huo nenda nao sawa nn kimekufanya umchane kamanda kama ni domo zege? Je kama kuna kipotabo ndo ilikuwa ndo target yake hapo mlipo au yy si muumini wa wezele ndo maana akaunyuti.
 
Huyu ni mimi piaa,
Screenshot_2019-04-03-23-51-42-1.png
 
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.

Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye nilipofika sehemu husika pia kutokana na mambo ya usalama nikapoteza dk 5 tena kwenye entrance.

Nmeingia ndani haraka nikaangaza macho nikaona nisipite mbele sababu ya haya maumbo yetu wengine tunanyanyasika kijinsia.

Nikamwona kaka mmoja mtanashati amekaa ametulia sana pembeni yake kiti hakina mtu.nikavutiwa na utulivu wake na kwenda kukaa naye.nlimsalimia akajibu pasipo hata kuntizama.nlikwazika kidogo.

Aliyekuwa anaongea alipomaliza akataka tulioingia late tujitambulishe ...nikasimama nikajitambulisha hapo ndo nikaona huyu kaka sas anaanza kuntizama kwa chati.

Nikimtizama anakwepa...then tena anarudisha macho yake kuntizama.kwa kuibia....baadaye akashika simu na kuingia JF. Hapo ndo nlishtuka.... Jamani leo nmekutana na GuDume kidogo nicheke...nikajizuia.

Nikasema nitamwona kama anaweza hata kuniimbisha maana ni wazi alikuwa ananitizama kwa kuibia.nmekuja msemesha kuhusu agenda kadhaa ana aibu ,hawezi hata nikazia macho...anaongea anatizama chini na pembeni. Gudume ana aibu...khaaaah??? Nmeshangaa... Mpaka tunaagana hajui kama mimi niliyekaa naye pale ni mimi.

Nmechukua namba yake ya simu akibisha tu namtext... Inawezekana siku nikakutana na GENTAMYCINE akaanza kuuma uma vidole... Au Mshana Jr akawa anatafuna kucha kwa aibu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahyo ulimwomba namba?
 
Kama nimeshawahi kutongoza member yeyote pm aseme sitak kuchafuliana hapa aanzishe Uzi mwingine kesii zituangukie kina sieeeee
Haya mlowahi kutongozwa na huyu Bidada ni wakati wenu kuleta ushahidi,mmepewa go-ahead....
 
Poleni sana. Sijui why mnapata shida this much. Watu tuna harakati za maana za maisha ndo maana hata JF tunaonekana kwa nadra sana. So endeleeni kuamini hivyo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Izo harakati za maana ndo utupe idea bro. mana zetu naona hazina mana sijui tunafeli wapi?.Acha tuendelee kujichanga na kina zero IQ
 
Hahahaa aisee! Ila sio kila akuonae lazima akuimbishe, pengine hajavutiwa na wewe
 
Ndio maana sipendi kufungua JF sehemu yenye watu. Na hivi kila siku napitaga maofisini kwa watu kuna siku mtu ataniotea anijue. Dah! Sitaki kabisa.

Anayejua in real life hajui ID yangu JF na wanaonijua ID ya JF hawanijui in real life. Kuna member humu ananifahamu jina langu halisi na namba yangu ya simu anayo, lakini hanijui in person, hata sura yangu haijui. Uzuri naishi kiintelijensia, social media zote hazina picture yangu. Nina account fb haina hata picha yangu 1.
 
Back
Top Bottom