Huyu mgombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa kila kiongozi mwenzake mwandamizi, pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa anawona kama madui au wabaya wake

Huyu mgombea Uenyekiti wa CHADEMA Taifa kila kiongozi mwenzake mwandamizi, pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa anawona kama madui au wabaya wake

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni wazi ana hamaki na mawenge ya kiwango cha juu mno. Anaweweseka sana na amekosa utulivu, hana uhakika wa amani na kwakweli kujiamini kwake, mdomo na makelele kuna pungua kadiri siku zinavyokwenda.

Nadhani sasa amefikia ukomo wa kufunguka yaliyokua yakimzonga moyoni mwake baada ya kuyahifadhi kwa muda mrefu huku akiwa amejifunika kwa tabasamu la kinafiki anapokua na viongozi wenzake waandamizi kwenye vikao.

Ni wazi amekosa sifa ile muhimu sana ya kiongozi kua alama ya umoja na amani miongni mwa viongozi waandamizi wenzake na watu wote anaowaongoza,

Badala yake,
amekua mchochea chuki, uhasama, uadui, makundi na migawanyiko miongni mwa viongozi wenzake lakini pia baina ya anao waongoza.

Kadiri muda unavyokwenda ndivyo hekima na busara zake zinashuka na kupotea kabisa.
Haiaminiki tena, hana ushawishi tena, hakubaliki tena bali anadharaulika mno hivi sasa, na ana puuzwa kwa kasi ya kiwango cha juu mno kama mwanasiasa na mwanasheria mbobevu.

The gentleman is completely not popular any more.

Kiufupi,
amekosa sifa za kua kiongozi kiunganishi wa kitaifa wa chama na kwahivyo, hakuna mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa chadema anaeweza kumchagua kiongozi asie na staha kama huyo, na wala hakuna chama cha siasa nchini kinaweza kumpatia nafasi kiongozi asie na hekima wala nidhamu kama huyo muungwana.

hivi mtu kama huyu atachaguliwaje ikiwa kila kiongozi au mjumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema ni adui au mbaya wake?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
 
Ni wazi ana hamaki na mawenge ya kiwango cha juu mno. Anaweweseka sana na amekosa utulivu, hana uhakika wa amani na kwakweli kujiamini kwake, mdomo na makelele kuna pungua kadiri siku zinavyokwenda.

Nadhani sasa amefikia ukomo wa kufunguka yaliyokua yakimzonga moyoni mwake baada ya kuyahifadhi kwa muda mrefu hukua akijifunika kwa tabasamu la kinafiki anapokua na viongozi wenzake.

Ni wazi amekosa sifa ile muhimu sana ya kiongozi kua alama ya umoja na amani miongni mwa viongozi waandamizi wenzake na watu wote anaowaongoza,

Badala yake,
amekua mchochea chuki, uhasama, uadui, makundi na migawanyiko miongni mwa viongozi wenzake lakini pia baina ya anao waongoza.

Kadiri muda unavyokwenda ndivyo hekima na busara zake zinashuka na kupotea kabisa.
Haiaminiki tena, hana ushawishi tena, hakubaliki tena bali anadharaulika mno hivi sasa, na ana puuzwa kwa kasi ya kiwango cha juu mno kama mwanasiasa na mwanasheria mbobevu.

The gentleman is completely not popular any more.

Kiufupi,
amekosa sifa za kua kiongozi kiunganishi wa kitaifa wa chama na kwahivyo, hakuna mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa chadema anaeweza kumchagua kiongozi asie na staha kama huyo, na wala hakuna chama cha siasa nchini kinaweza kumpatia nafasi kiongozi asie na hekima wala nidhamu kama huyo muungwana 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Umelipwa Shilingi ngapi maana huko kwenu TAKUKURU wamelala usingizi mzito wa pond.
 
Ni wazi ana hamaki na mawenge ya kiwango cha juu mno. Anaweweseka sana na amekosa utulivu, hana uhakika wa amani na kwakweli kujiamini kwake, mdomo na makelele kuna pungua kadiri siku zinavyokwenda.

Nadhani sasa amefikia ukomo wa kufunguka yaliyokua yakimzonga moyoni mwake baada ya kuyahifadhi kwa muda mrefu huku akiwa amejifunika kwa tabasamu la kinafiki anapokua na viongozi wenzake waandamizi kwenye vikao.

Ni wazi amekosa sifa ile muhimu sana ya kiongozi kua alama ya umoja na amani miongni mwa viongozi waandamizi wenzake na watu wote anaowaongoza,

Badala yake,
amekua mchochea chuki, uhasama, uadui, makundi na migawanyiko miongni mwa viongozi wenzake lakini pia baina ya anao waongoza.

Kadiri muda unavyokwenda ndivyo hekima na busara zake zinashuka na kupotea kabisa.
Haiaminiki tena, hana ushawishi tena, hakubaliki tena bali anadharaulika mno hivi sasa, na ana puuzwa kwa kasi ya kiwango cha juu mno kama mwanasiasa na mwanasheria mbobevu.

The gentleman is completely not popular any more.

Kiufupi,
amekosa sifa za kua kiongozi kiunganishi wa kitaifa wa chama na kwahivyo, hakuna mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa chadema anaeweza kumchagua kiongozi asie na staha kama huyo, na wala hakuna chama cha siasa nchini kinaweza kumpatia nafasi kiongozi asie na hekima wala nidhamu kama huyo muungwana 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Kipenzi cha Mbowe
 
Tundu lisu anawatesa kina mbowe
Gentleman,
For sure,
muungwana anamchukia kila kiongozi na kila mjumbe ndani ya mkutano mkuu Taifa chadema,

sasa najiuliza atachaguliwaje sasa kua kiongozi wa chama mtu kama huyo?🐒
 
Kipenzi cha Mbowe
Yes of course,
Freeman Aikaeli Mbowe ni kipenzi cha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kuliko mtu mwingine yeyote unaemfahamu.

The statesman is loved much within chadema fraternity than any leader you know 🐒
 
Kwa sasa amebakia anatapatapa tu na haelewi hata cha kufanya.Waliomjaza upepo na kumdanganya wamebakia wanatukana matusi kama vichaa au wendawazimu baada ya kuishiwa hoja.
watu wamekinai mdomo na makelele yake, na sasa wanaopuuza hadi anatia huruma..
 
Ni wazi ana hamaki na mawenge ya kiwango cha juu mno. Anaweweseka sana na amekosa utulivu, hana uhakika wa amani na kwakweli kujiamini kwake, mdomo na makelele kuna pungua kadiri siku zinavyokwenda.

Nadhani sasa amefikia ukomo wa kufunguka yaliyokua yakimzonga moyoni mwake baada ya kuyahifadhi kwa muda mrefu huku akiwa amejifunika kwa tabasamu la kinafiki anapokua na viongozi wenzake waandamizi kwenye vikao.

Ni wazi amekosa sifa ile muhimu sana ya kiongozi kua alama ya umoja na amani miongni mwa viongozi waandamizi wenzake na watu wote anaowaongoza,

Badala yake,
amekua mchochea chuki, uhasama, uadui, makundi na migawanyiko miongni mwa viongozi wenzake lakini pia baina ya anao waongoza.

Kadiri muda unavyokwenda ndivyo hekima na busara zake zinashuka na kupotea kabisa.
Haiaminiki tena, hana ushawishi tena, hakubaliki tena bali anadharaulika mno hivi sasa, na ana puuzwa kwa kasi ya kiwango cha juu mno kama mwanasiasa na mwanasheria mbobevu.

The gentleman is completely not popular any more.

Kiufupi,
amekosa sifa za kua kiongozi kiunganishi wa kitaifa wa chama na kwahivyo, hakuna mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa chadema anaeweza kumchagua kiongozi asie na staha kama huyo, na wala hakuna chama cha siasa nchini kinaweza kumpatia nafasi kiongozi asie na hekima wala nidhamu kama huyo muungwana.

hivi mtu kama huyu atachaguliwaje ikiwa kila kiongozi au mjumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema ni adui au mbaya wake?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Kwa sasa amebakia anatapatapa tu na haelewi hata cha kufanya.Waliomjaza upepo na kumdanganya wamebakia wanatukana matusi kama vichaa au wendawazimu baada ya kuishiwa hoja.
Kaandike magazeti ya mamayenu kuwaliza machozi wajinga wajinga wa lumumba majizi ya kura🪛🪛🪛🪛🪛🪛
 
Magufuli aliwa sema ukiona mpinzani wako anakusifia ujue kuna sehemu umekosea ndo maana vijana kutoka kijani wanamnanga Lissu huku wakimsifu mbowe
 
Hata mwanafunzi wa form two B anaweza kugundua hilarious hizi. Yaani wapenzi wa Yanga kuwachagulia Simba kocha au wa Simba kukomalia kocha fulani kwa Yanga!
Akili za kitoto hizo mlizo nazo maccm. Likija swala la kutumia mbinu za akili CCM ni bongolala kabisa yaani 20% uwezo wao uko kwenye Wizi, mabavu na uporaji tuu!
Msipoteze nguvu zenu bure, mmeshtukiwa.
 
Yes of course,
Freeman Aikaeli Mbowe ni kipenzi cha wajumbe wengi wa mkutano mkuu wa chadema Taifa kuliko mtu mwingine yeyote unaemfahamu.

The statesman is loved much within chadema fraternity than any leader you know 🐒
Kama ambavyo LIPUMBAvu linapendwa na kamati na wajumbe wengi wa mkutano Mkuu
 
Back
Top Bottom