jah bless xon
Senior Member
- Apr 4, 2019
- 123
- 282
Nina mke wangu tunaishi wote mwaka wa kumi na moja Sasa (hatujafunga ndoa lakini, kwasababu zangu maalumu)huyu binti nilifahamiana nae akiwa chuo cha ushirika Moshi. Tuna watoto watatu.
Sasa mwaka juzi kuna rafiki yake nlikutana nae nje ya mkoa tunaoishi, kama zali tu. Tukapiga story mbili tatu vinywaji vya hapa na pale mara nikaanza kumdadisi kuhusu rafiki yake.(ambae ni mke wangu)Shemu akafunguka akanitajia wanaume ambao mke wangu alishatembea nao.
Mimi nikafanya kama simind hivi, ili aendelee kushusha maelezo nikamezea nikakatisha story. Tukaendelea na story zingine. Hapo hapo nikachomekea na mimi nikaenda kumpiga shooo..(ila siyo dhumuni la mada hii kula tunda kimasihara)
Nilivyorudi home nikamkalisha wife chini, nikamuuliza kumbe ulishatembea na flani na flani?akakata kaata lakini mwisho wa siku akakubali. Nikamwambia kama unataka nikusamehe, niambie watu wote ambao umeshatembea nao, duuu alinitajia zaidi ya wanaume tisa hivi. Mpaka wengine ni Rafiki zangu, wengine wanaishi mtaani kabisa ila anasema ni miaka miwili mitatu nyuma.
Haya mazungumzo ni miaka mitatu iliyopita lakini na hicho ndicho kinanifanya nishindwe kurudi nae kundini
Nikifikiria ndani ya miaka sita saba mwanaume najidai kidume, namwamini mke wangu kumbe keshatembea na watu wote hao na ukimwona ni kapole kweli kabila ni machame.
Sasa naombeni ushauri huyu mwanamke mzazi mwenzangu anafaa kuendelea kuishi nae na kurudi nae kundini ili tukae vizuri kwenye dini.
Kwa mimi nafikiri nisubiri watoto wakue(wako primary wote)then Kkla mtu aendelee na hamsini zake nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndo tu.
Nikifikiria huyu mwanamke ni nyoka watu wote hao sikujuaga hata mmoja?
Naombeni ushauri wakuu.
Sasa mwaka juzi kuna rafiki yake nlikutana nae nje ya mkoa tunaoishi, kama zali tu. Tukapiga story mbili tatu vinywaji vya hapa na pale mara nikaanza kumdadisi kuhusu rafiki yake.(ambae ni mke wangu)Shemu akafunguka akanitajia wanaume ambao mke wangu alishatembea nao.
Mimi nikafanya kama simind hivi, ili aendelee kushusha maelezo nikamezea nikakatisha story. Tukaendelea na story zingine. Hapo hapo nikachomekea na mimi nikaenda kumpiga shooo..(ila siyo dhumuni la mada hii kula tunda kimasihara)
Nilivyorudi home nikamkalisha wife chini, nikamuuliza kumbe ulishatembea na flani na flani?akakata kaata lakini mwisho wa siku akakubali. Nikamwambia kama unataka nikusamehe, niambie watu wote ambao umeshatembea nao, duuu alinitajia zaidi ya wanaume tisa hivi. Mpaka wengine ni Rafiki zangu, wengine wanaishi mtaani kabisa ila anasema ni miaka miwili mitatu nyuma.
Haya mazungumzo ni miaka mitatu iliyopita lakini na hicho ndicho kinanifanya nishindwe kurudi nae kundini
Nikifikiria ndani ya miaka sita saba mwanaume najidai kidume, namwamini mke wangu kumbe keshatembea na watu wote hao na ukimwona ni kapole kweli kabila ni machame.
Sasa naombeni ushauri huyu mwanamke mzazi mwenzangu anafaa kuendelea kuishi nae na kurudi nae kundini ili tukae vizuri kwenye dini.
Kwa mimi nafikiri nisubiri watoto wakue(wako primary wote)then Kkla mtu aendelee na hamsini zake nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndo tu.
Nikifikiria huyu mwanamke ni nyoka watu wote hao sikujuaga hata mmoja?
Naombeni ushauri wakuu.