We haya!Hayupo humu afsa
Bado hujajua Sheria,Kanuni, miongozo na taratibu za Utongozaji.Mko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
Ustaarabu kihisia Kwa mwanamke haunaga tija.Anaomba kukufaham zaidi, analika Ila kistaarabu..funny!!
Of course kuliwa ni kuliwa tu, ila going too cheap sio poa. Ndio maana nikasema kistaarabu analika.Ustaarabu kihisia Kwa mwanamke haunaga tija.
😂😂Na wewe unalika vizuri tu chief.kula uliwe