Huyu mke wa mtu analika au haliki?

Huyu mke wa mtu analika au haliki?

Mke wa mtu sumu jirani acha nikomae tu na hawa wachuo niwafuturishe mwenyewe 😂
Hata wewe mume wa mtu bhana jirani, usipomla huyo mvaa hijab sitokuelewa kabisaa.!! Nishaandaa abaya langu la kwenda kufturu puliiiizzzz 😹😹
 
Hata wewe mume wa mtu bhana jirani, usipomla huyo mvaa hijab sitokuelewa kabisaa.!! Nishaandaa abaya langu la kwenda kufturu puliiiizzzz 😹😹
Jiran mke wa mtu sumu mi nakulaga chakula tu 😂

hunitakii mema sio bure.
 
Mko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?

View attachment 3260781
Utajisikiaje mke wako akiliwa na mtu,. Kama hupendi bas jua kuwa unatakiwa kukaa mbali na kuheshimu wake za watu. Amin usiamin dhambi inarudi hapahapa duniani (Yani nawe utafanyiwa Kwa mke wako au dadako au mamako n.k)
 
Ukipakwa mafuta usije acha kutu adithia,,, kuwa makin ,,, mke wa MTU
 
Back
Top Bottom