Huyu mke wa mtu analika au haliki?

Huyu mke wa mtu analika au haliki?

Ni aibu sana dume zima unaleta mambo ya mke wa mtu ili upate faraja. Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.

Wala hakuna pride yoyote ambayo unafanya hapo, arrogance ndio imekuleta hapa,

Mimi nikuhakikishie tu beba haya mafuta muda wote
View attachment 3260784
Jikite kwenye hoja
 
Anaweza kuwa anakujibu kikawaida ila kumpata sasa! Kuna wengine hwajui kutukana ila utajiandikisha mimeseji wee hadi utakata tamaa....na kwa uvula uvulana ulionao inaonekana unatamani upate mke wa mtu ili akulee
 
Bado hujajua Sheria,Kanuni, miongozo na taratibu za Utongozaji.

Kwenye Kutongoza mwanamke ni KOSA KUBWA SANA KUMWAMBIA "NAKUPENDA/NMETOKEA KUKUPENDA /NMEKUPENDA NAOMBA TUWE PAMOJA/NAKUPENDA NIPE NAFASI MOYONI MWAKO!!.


Ni makosa makubwa sana ambayo HAUTAKAA UMLE MWANAMKE KIMASIHARA


KWANN?? jibu ni jepesi sana, Unakua umempa mpira mikononi mwake, yaan ni yeye wa mwisho atakayeamua namna ya kuudundisha.

Siunaona hapo anakuambia mpe muda akujue?? Unahisi atakuzungusha muda gan? Na Hilo litakufanya Fala kama wewe upigwe mizinga kwelikweli !!.



Mwanamke anakua manipulated bila Kuruhusu Afanye maamuzi logically ,unambamanisha kwenye Kona itakayomuacha afanye maamuzi emotionally.


Anakuja kustuka anajiuliza "Daahh hivi imekuaje nimeshaliwa tayari na huyu mwamba??".
Umeua mkuu😄😄😄
 
Bado hujajua Sheria,Kanuni, miongozo na taratibu za Utongozaji.

Kwenye Kutongoza mwanamke ni KOSA KUBWA SANA KUMWAMBIA "NAKUPENDA/NMETOKEA KUKUPENDA /NMEKUPENDA NAOMBA TUWE PAMOJA/NAKUPENDA NIPE NAFASI MOYONI MWAKO!!.


Ni makosa makubwa sana ambayo HAUTAKAA UMLE MWANAMKE KIMASIHARA


KWANN?? jibu ni jepesi sana, Unakua umempa mpira mikononi mwake, yaan ni yeye wa mwisho atakayeamua namna ya kuudundisha.

Siunaona hapo anakuambia mpe muda akujue?? Unahisi atakuzungusha muda gan? Na Hilo litakufanya Fala kama wewe upigwe mizinga kwelikweli !!.



Mwanamke anakua manipulated bila Kuruhusu Afanye maamuzi logically ,unambamanisha kwenye Kona itakayomuacha afanye maamuzi emotionally.


Anakuja kustuka anajiuliza "Daahh hivi imekuaje nimeshaliwa tayari na huyu mwamba??".
Kwaiyo angeendaje apo mpe mbinu
 
Back
Top Bottom