Huyu mke wa mtu analika au haliki?

Huyu mke wa mtu analika au haliki?

Ni aibu sana dume zima unaleta mambo ya mke wa mtu ili upate faraja. Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.

Wala hakuna pride yoyote ambayo unafanya hapo, arrogance ndio imekuleta hapa,

Mimi nikuhakikishie tu beba haya mafuta muda wote
View attachment 3260784
😀 😀 na kweli hahahaha abebe tuu
 
Huna Fundo Kijana Wa Afu Mbili,,Naona Unamwaga Radhi Utakavyo Hujali Wala Nini
 
Muulize mumewe, yeye ndo anamjua vizuri huyo muhusika.
 
Nyie ndiyo mnawapa sababu Kataa Ndoa

Hakukuwa na haja ya kuja kuweka wazi humu.

Hujawahi kusikia ishu ya Men don't kiss and tell

Pamoja na Uzee wangu nilionao, nikikufumunia na Bibi yenu lazima nikuitie kikosi Kazi

Makinika tu, Mke wa mtu sumu
 
hakikisha uwe unavaa chupi la chuma utakuja kunishukuru
 
😂😂😂😂😂

Intelligent businessman
min -me
makutupora
Light saber
Mshangazi dot com

Mwamba ameshajulikana😂😂😂😂👆🏿👆🏿
Acha tuenjoy hii sinema 🍿
giphy.gif
 
Back
Top Bottom