Huyu mkushi kauliza swali fikirishi sana

Huyu mkushi kauliza swali fikirishi sana

Swali zuri ila kabla sijajibu kamuambie huyo kijana awe makini

Asije akatumia maneno makali kukashifu dini za watu

Africa sio sehemu nzuri ya kukashifu dini

Kuna atheists waliuwawa mwaka jana oct nigeria, mwingine alihukumiwa kifungo cha miaka 24 2022
 
Nani??
Kwamba ni mtu au jitu??

Mpaka anauliza nani, huenda alishajua kuna huyu na huyu je ni nani kati ya hawa!!?

Nani hutumika kwa binadamu pekee, kwa maana hiyo anauliza ni binadamu gani??
Bila shaka anahitaj jina la huyo mnufaika.
Hebu tujiulize, huyo mnufaika hatokufa ilhali sote tutakufa??
 
Viko viumbe vingi mwilini mwako vinavyonufaika vinavyoonekana na visivyoonekana hapo hujipatia chakula,maji na makazi
Mfano chawa,viroboto,kunguni,minyoo,funza,mabakteria, protozoans,mavirusi,maparata geto kwako mixer panya,mbu na wengine

You are more than a shopping Mall
 
Nani??
Kwamba ni mtu au jitu??

Mpaka anauliza nani, huenda alishajua kuna huyu na huyu je ni nani kati ya hawa!!?

Nani hutumika kwa binadamu pekee, kwa maana hiyo anauliza ni binadamu gani??
Bila shaka anahitaj jina la huyo mnufaika.
Hebu tujiulize, huyo mnufaika hatokufa ilhali sote tutakufa??
Kiufupi hao jamaa wanauliza maswali kila siku kwa sababu hata ideas zao wana mashaka nazo .

Mpaka anauliza nan ananufaika basi hana uhakika na misimamo yake.
 
Inategemea labda tayari una jibu lako.......
Swali ameuliza " Hivi ni nani anae nufaika na uwepo wetu duniani" ukajibu " Mungu" nikakuuliza " how" ukasema anajua Mungu mwenyewe. Anyways do u know kwanini nimekuuliza" Mungu ananufaika vipi na uwepo wetu duniani"?
 
Swali zuri ila kabla sijajibu kamuambie huyo kijana awe makini

Asije akatumia maneno makali kukashifu dini za watu

Africa sio sehemu nzuri ya kukashifu dini

Kuna atheists waliuwawa mwaka jana oct nigeria, mwingine alihukumiwa kifungo cha miaka 24 2022
Wacha kutisha watu mkuu
 
Kiufupi hao jamaa wanauliza maswali kila siku kwa sababu hata ideas zao wana mashaka nazo .

Mpaka anauliza nan ananufaika basi hana uhakika na misimamo yake.
Anawachanganya maboya wamuone ni GT.
 
Viko viumbe vingi mwilini mwako vinavyonufaika vinavyoonekana na visivyoonekana hapo hujipatia chakula,maji na makazi
Mfano chawa,viroboto,kunguni,minyoo,funza,mabakteria, protozoans,mavirusi,maparata geto kwako mixer panya,mbu na wengine

You are more than a shopping Mall
Mtoa mada kamaanisha sisi wanadamu pamoja na viumbe vyote kuanzia wanyama mimea hadi hao unao wazungumzia wewe. Sisi wote kwa ujumla wetu nani ana nufaika na uwepo wetu hapa duniani?
 
Swali ameuliza " Hivi ni nani anae nufaika na uwepo wetu duniani" ukajibu " Mungu" nikakuuliza " how" ukasema anajua Mungu mwenyewe. Anyways do u know kwanini nimekuuliza" Mungu ananufaika vipi na uwepo wetu duniani"?
Labda pia nikuulize kwako Mungu ni nani?
 
Back
Top Bottom