Huyu mkushi kauliza swali fikirishi sana

Huyu mkushi kauliza swali fikirishi sana

Anaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.

Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530
Ananufaika aliyetuleta
 
Hilo swali limekaa kihistoria zaidi Ila nitafupisha maelezo

Hapo kale kipindi transformation kutoka herding kwenda clan kwenda class kwenda state kulikua na disintegration tofauti tofauti zilizopelekea subdivision of classes kukawa na superior class na inferior class the same kwa state kukawa na superior state na inferior state

Sasa nikulete kwenye manufaa kwenye transformation kuna kitu kiliibuka kwenye stage ya classes hapo kuna kitu kinaitwa slavery kiliibuka sasa hawa slave ni workers ambao hufanya kazi kwa superior class you see kwa maana hio ukiwa kwenye inferior class maana yake wewe unainufaisha superior class kwa kufanya kazi as a slave (worker) kwa superior class

Narudi kwenye swali kwa ku-summarize km wewe haupo kwenye superior class upo kwenye inferior class basi wewe unafanya kazi as a slave (worker) kwa manufaa ya superior class na hio maana yake ni kwamba wewe upo kwa manufaa ya superior class

Case closed!
Point ni zile zile za toka mwaka 94.

1. Poor leadership

2. Poor infrastructure.

3. Poor social services

4. Lack of education etc.

I don't like this kind if reasoning mkuu. It is very horible.

Think freely
 
Point ni zile zile za toka mwaka 94.

1. Poor leadership

2. Poor infrastructure.

3. Poor social services

4. Lack of education etc.

I don't like this kind if reasoning mkuu. It is very horible.

Think freely
Nimemaliza kila kitu hapo km unakataa endelea kukataa wewe ni Government property chochote unachofanya ni kwa manufaa ya Serikali na upo ili Serikali inufaike

Hutaki kunya Boga
 
Mtoa mada kamaanisha sisi wanadamu pamoja na viumbe vyote kuanzia wanyama mimea hadi hao unao wazungumzia wewe. Sisi wote kwa ujumla wetu nani ana nufaika na uwepo wetu hapa duniani?
Atakuwa anamaanisha labda sisi na viumbe wengine tunafugwa kama binadamu anavyofuga nguruwe! Swali lake halina majibu kwa ufupi manake hata iyo anayetufuga hatujawahi kumuona,sisi tupo tu tunategemeana wenyewe kwa wenyewe kwa manufaa yetu!

Tuwepo tusiwepo hakuna anayefaidi au kutofaidi!
 
Anaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.

Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530
Ukisema "nani ananufaika?" Unakuwa unafanya fallacy ya begging the question....unalazimisha ujibiwe unavyotaka... kwenye Hilo swali inabidi ueleze..kwa Nini kuwe na kiumbe na kwa Nini kifaidike ...ukiuliza nani unataka jibu liwe fulani . .na ukisema tunamfaidisha nani inamaanisha ushaconclude Kuna mtu na tunamfaidisha bila kutuonyesha ushahidi wowote wa Hilo ..ukishaelewa Hilo hamna dini itakayokusumbua..
 
Atheists na watu wanofanana na hao ni watu ambao ni low minded people most of them.

Ukiwa hauelewe mambo ya universe na cosmic power , divine power ,supernatural power , basi huwezi elewa haya mambo.
 
Back
Top Bottom