Huyu mkushi kauliza swali fikirishi sana

Huyu mkushi kauliza swali fikirishi sana

Labda ni sawa na Tajiri fulani kufungua ZOO yake Binafsi na yeye/wao kuwa anatuangalia maybe we're useless to them.
Kwa vyovyote vile Mungu hawezi kuwa ananufaika na uwepo wetu duniani
 
Kwa vyovyote vile Mungu hawezi kuwa ananufaika na uwepo wetu duniani
Tuseme "Mungu" au "Miungu"ndie mjenzi/wajenzi kwa namna ya huu Ukubwa wa Universe hii ilivyo kubwa na idadi ya vilivyomo vilivivyokuwa ni vingi vingi vingi vingi kweli kweli kweli.

Ni kwanini atumaindi sisi Big Apes Homo Sapiens pekee wa hapa kwenye hili Jiwe la tatu kutoka kwenye Nyota?
 
Tuseme "Mungu" au "Miungu"ndie mjenzi/wajenzi kwa namna ya huu Ukubwa wa Universe hii ilivyo kubwa na idadi ya vilivyomo vilivivyokuwa ni vingi vingi vingi vingi kweli kweli kweli.

Ni kwanini atumaindi sisi Big Apes Homo Sapiens pekee wa hapa kwenye hili Jiwe la tatu kutoka kwenye Nyota?
Point yangu ni kwamba kwa mujibu wa mafundisho ya dini zetu kuu mbili Mungu imekamilika. He doesn't want anything. Yeye kama yeye anajitosheleza. Hawezi kupata faida wala hasara. Hawezi kunufaika wala kutokunufaika kwa chochote kile na uwepo wetu duniani. Ndio maana nimesema kwa sifa anazo tajwa kuwa nazo Mungu hawezi kunufaika na uwepo wetu hapa duniani kwa namna yoyote ile kwa sababu yeye amekamilika so hawezi kunufaishwa wala kutonufaishwa na kitu chochote kile
 
Surat Adh-Dhariyat [51:56]
وَمَا خَلَقْتُ ٱلْجِنَّ وَٱلْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ ٥٦
 
Namaanisha hakuna jibu la uhakika kwamba limethibitishwa ndo jibu sahihi

Jibu linategemea worldview yako
Of course tushughulishe Mind zetu sio kila maswali magumu tuwaachie Wazungu na Waarabu.

Hao Vijana wa Kikushi nawasapoti imefika wakati Mwafrika ajiulize na atafute Majibu kama ilivyokuwa kwa Mababuzetu Mafarao na akina Imhotep wa Misri ya Kale.
 
Ukiona mtu haamini uwepo wa Mungu alafu bado anahangaika na huyo Mungu asiemwamini ujue hata huko alipo hakuamini.
 
Point yangu ni kwamba kwa mujibu wa mafundisho ya dini zetu kuu mbili Mungu imekamilika.
Dini ni Man made haziwezi kujibu maswali magumu na ndio zimem invent Mungu.

Sayansi inamajibu mengi yaliyofanyiwa Research na uzuri wa Sayansi kitu ambacho haijui inasema haijui.

Lakini Watu wa Dini wanasema kila kitu wanajua.
 
Weka coma mkuu usiweke fullstop. Majibu yatakuwepo tu.. Mimi Binafsi nipo na jibu moja lakini nashangaa mpaka muda huu hakuna mtu ambae walau amelizungumzia
Kumbe unajibu lako ya nini kulazimisha watu wajibu unavyotaka. Unatafuta wafuasi kwa nguvu?
 
Anaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.

Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530
Kwani kuna ulazima wa faida
 
Hilo swali limekaa kihistoria zaidi Ila nitafupisha maelezo

Hapo kale kipindi transformation kutoka herding kwenda clan kwenda class kwenda state kulikua na disintegration tofauti tofauti zilizopelekea subdivision of classes kukawa na superior class na inferior class the same kwa state kukawa na superior state na inferior state

Sasa nikulete kwenye manufaa kwenye transformation kuna kitu kiliibuka kwenye stage ya classes hapo kuna kitu kinaitwa slavery kiliibuka sasa hawa slave ni workers ambao hufanya kazi kwa superior class you see kwa maana hio ukiwa kwenye inferior class maana yake wewe unainufaisha superior class kwa kufanya kazi as a slave (worker) kwa superior class

Narudi kwenye swali kwa ku-summarize km wewe haupo kwenye superior class upo kwenye inferior class basi wewe unafanya kazi as a slave (worker) kwa manufaa ya superior class na hio maana yake ni kwamba wewe upo kwa manufaa ya superior class

Case closed!
 
Surat Adh-Dhariyat [51:56]
وَمَا خَلَقْتُ ٱلْجِنَّ وَٱلْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ ٥٦
Hii sura ndio ilinifanya Nitoke kwenye dini niliyo rithi kwa wazazi wangu ( uislamu) na kurejea kwenye dini za mababu zilizo kuwepo kabla ya ujio wa dini za wazungu na waarabu.

Kwa wasio jua, hiyo aya hapo inasema " Mungu alituumba sisi binadamu na majini ili tumuabudu yeye"


Swali ;

1. Je tusipo muabudu atapungukiwa na kitu gani?

2. Na je tukimuabudu ataongezekewa na kitu gani?
 
Back
Top Bottom