Ananufaika aliyetuletaAnaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.
Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530
Point ni zile zile za toka mwaka 94.Hilo swali limekaa kihistoria zaidi Ila nitafupisha maelezo
Hapo kale kipindi transformation kutoka herding kwenda clan kwenda class kwenda state kulikua na disintegration tofauti tofauti zilizopelekea subdivision of classes kukawa na superior class na inferior class the same kwa state kukawa na superior state na inferior state
Sasa nikulete kwenye manufaa kwenye transformation kuna kitu kiliibuka kwenye stage ya classes hapo kuna kitu kinaitwa slavery kiliibuka sasa hawa slave ni workers ambao hufanya kazi kwa superior class you see kwa maana hio ukiwa kwenye inferior class maana yake wewe unainufaisha superior class kwa kufanya kazi as a slave (worker) kwa superior class
Narudi kwenye swali kwa ku-summarize km wewe haupo kwenye superior class upo kwenye inferior class basi wewe unafanya kazi as a slave (worker) kwa manufaa ya superior class na hio maana yake ni kwamba wewe upo kwa manufaa ya superior class
Case closed!
Nimemaliza kila kitu hapo km unakataa endelea kukataa wewe ni Government property chochote unachofanya ni kwa manufaa ya Serikali na upo ili Serikali inufaikePoint ni zile zile za toka mwaka 94.
1. Poor leadership
2. Poor infrastructure.
3. Poor social services
4. Lack of education etc.
I don't like this kind if reasoning mkuu. It is very horible.
Think freely
Atakuwa anamaanisha labda sisi na viumbe wengine tunafugwa kama binadamu anavyofuga nguruwe! Swali lake halina majibu kwa ufupi manake hata iyo anayetufuga hatujawahi kumuona,sisi tupo tu tunategemeana wenyewe kwa wenyewe kwa manufaa yetu!Mtoa mada kamaanisha sisi wanadamu pamoja na viumbe vyote kuanzia wanyama mimea hadi hao unao wazungumzia wewe. Sisi wote kwa ujumla wetu nani ana nufaika na uwepo wetu hapa duniani?
Yah man cheers! Mi nipo hapa rombo shine napooza Koo mkuu karibuSo we have to live our lives sio?
Basi wacha niende zangu bar mie nikapate moja moto moja baridi
Ukisema "nani ananufaika?" Unakuwa unafanya fallacy ya begging the question....unalazimisha ujibiwe unavyotaka... kwenye Hilo swali inabidi ueleze..kwa Nini kuwe na kiumbe na kwa Nini kifaidike ...ukiuliza nani unataka jibu liwe fulani . .na ukisema tunamfaidisha nani inamaanisha ushaconclude Kuna mtu na tunamfaidisha bila kutuonyesha ushahidi wowote wa Hilo ..ukishaelewa Hilo hamna dini itakayokusumbua..Anaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.
Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530
Tuvunje sheria zake atuchome moto nafsi yake iridhikeAnanufaika vipi?
Huo ni ukatili kuchoma moto viumbe Ili ujiridhishe ni mojawapo ya magonjwa ya akiliTuvunje sheria zake atuchome moto nafsi yake iridhike
Kwamba Mungu ana ugomjwa wa akili? AiseeHuo ni ukatili kuchoma moto viumbe Ili ujiridhishe ni mojawapo ya magonjwa ya akili
Sijasema Mungu wewe wasema! Namaanisha huyo anayefaidi kutoka kwetu!!Kwamba Mungu ana ugomjwa wa akili? Aisee
machiaveliTuvunje sheria zake atuchome moto nafsi yake iridhike
Hii mada ngumu na Kiranga akija Tena?machiaveli
Hapa nilimaanisha Mungu, maana yeye ndo ametuumba
Hazimpiti hizi!Kiranga aje π
We mtoto mjinga sana siku hizi ππππKwa Tz anaenufaika ni January makamba
Mwajiri wakoπAnaitwa Allawi Mahamoud ni moja kati ya members wa movement ya wakushi yani vijana wa kiafrika wanao challenge mafundisho ya kiimani ya dini zilizo LETWA Afrika kwa majahazi.
Ameuliza " Ni nani ananufaika na uwepo wetu duniani?"View attachment 2930530