Genta banaKama kichwa cha habari kinavyodai, kwa yeyote ambaye anaweza niunganisha na huyu mwanamama anayemlinda Mh. Rais naomba aweze kunipa connection ni wapi nitampata amekuwa akinivutia sana jinsi anavyotekeleza majukumu yake ya kiusalama kwa Mama yetu.
Nipo tayari kumpa shamba langu la urithi la michungwa mtu yoyote ambaye ataweza nipatia mawasiliano yake, kama sio mawasiliano yake basi kunikutanisha nae tu inatosha kabisa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
NB: Mlinzi ni huyo mdada aliyesimama upande wa kulia wa mama, na kama bado hajaolewa niko tayari kumfanya mke wa pili.
View attachment 1978940View attachment 1978958
Hongera, kazanaSioni kosa kumpenda mlinzi wa Rais boss wangu, kama una connection ya wapi nitampata naomba unisaidie
Shida zipo na haziepukiki ila kumbuka ule msemo kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Hivyo pambana ipo siku na wewe hutokaa kuhoji bei ya kipande cha sabuni ili hali kuna jukumu la ada ya chuo mbele yako.Mkuu unapata wap ujasiri wa kupenda ikiwa tu kipande cha sabuni ya jamaa kimefikia tsh 600,mafuta ya kupikia hayakamatiki bado unataka kujiongezea majukumu
Kwenye Mapenzi kuna changamoto zake moja wapo ni hiyo ya kuchapana makofi asiponipiga, nitampiga mimi iwapo nikisikia anachepuka akiwa ziaraniLakini amekunja ngumi huyo, sijui kama umemuona vizuri tusijekusikia vilio usiku toka kwa nyumba yako.