Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

huu mchakato sio wa mwaka mmoja umachukua muda mrefu na sasa ndio upo ukingoni

Unaweza ukaniambia Mo ananufaika vipi na simba kwa sasa?

Mo ananufaika vipi?
Hili ni swali la kuuliza?
Mo brand huoni inavyofaidika na Simba?
Kama sportspesa wanalipa kutangazwa na Simba ..
Mo brands inalipa ngapi?Mkataba ukoje?
 
simba "imesavaivu" vizuri kabla ya Mo. Hiyo mishahara kabla ya Mo ilikua inalipwaje? Ila tutaona mwisho wa yote haya.
 

Mbona unauliza maswali kama mtoto?
We ukiwa na dhahabu akija mtu ukampa asilimia 49 achimbe mgawane ..utaulizwa we unaweka ngapi?..
Simba brand ndo mtaji..kama hujui thamani ya Simba brand mwambie huyo Mo alipowekeza Singida united ilikuwaje hadi akakimbia?
 
Mo ananufaika vipi?
Hili ni swali la kuuliza?
Mo brand huoni inavyofaidika na Simba?
Kama sportspesa wanalipa kutangazwa na Simba ..
Mo brands inalipa ngapi?Mkataba ukoje?
ujue mo extra ni mdhamini anae jitegemea kwenye simba sio kawekwa tu
 

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] we unasema kweli
 
Wewe ndio Boya no 1.yaani ulitaka awekeze pesa zake alafu asipate faida yeyote.Mimi kama mshabiki na mpenzi wa Simba nasema yote sawa kikubwa kwetu ni burudani na tunaipata basi.
 
Mbona unauliza maswali kama mtoto?
We ukiwa na dhahabu akija mtu ukampa asilimia 49 achimbe mgawane ..utauliz
ujue mo extra ni mdhamini anae jitegemea kwenye simba sio kawekwa tu

Inayofaidika ni Mo extra peke yake?
Mkataba unasemaje?
Pesa analipwa nani?
 
Mbona unauliza maswali kama mtoto?
We ukiwa na dhahabu akija mtu ukampa asilimia 49 achimbe mgawane ..utauliz


Inayofaidika ni Mo extra peke yake?
Mkataba unasemaje?
Pesa analipwa nani?
Pesa analipwa simba na mo extra
 
Duh mpaka leo mchakato haujakamilika tu? Huko kusema mchakato haujakamilika ni kujitetea kwa watu wajanja wajanja
Hapana mkuu ule ni mchakato mrefu sio sawa na kwenda sokoni kununua machungwa ila ndo upo ukingoni
 
Eheeee! Nilikuwa nasubiri comment Kama hii,mijitu kazi yao ni kubwabwaja tu,Mo anamiliki 49% za hisa ambazo ni sawa na 20b. Haya hizo 21b za 51% zinabaki wao wameweka? Kwa uelewa wangu mdogo najua kwamba Simba ni Kama biashara ya mtaji wa 40b, ambapo Mo anapotoa 20b na washirika wengine nao watoe pia hiyo 20b ili kukamilisha mtaji ili Sasa running costs zote za klabu zitoke kwenye mtaji huo,Sasa nyie mnaowanga mchana kweupe eti Mo hajatoa 20b,nyinyi mmetoa inayowahusu?
 
Ni hivi mkuu...Kuna watu tangu Simba ibadili mfumo kula yao imekua ngumu pale kilabuni..hivyo wanamuona Mo kama mwiba kwao...hakuna dili za kwenda chimbo kwa waganga...hakuna kuja na mchezaji wako..wanachofanya sasa ni kujaribu kuwaletea zengwe makocha...nayo inaonekana dili zinakua ngumu...ndo wanataka bl 20 wakati hawana cha kununua nazo ni kuleta zengwe tu ili kutest mitambo kama kuna tingishika.

Wengine wana asili ya wivu tu kama tulivyo wabongo wengi wanaona Mo anapata airtime...wanahisi anatajirika kupitia Simba...wivu unawatoa mpaka akili kama ilivyo kawaida ya wivu au mapenzi yalopitiliza kutoa watu akili.

Msimamo ni kwamba hatutawaangalia waiharibu Simba...yaani hatuwezi kurudi tena Misri...miaka mitano bila kombe wakati sasa tunaelekea Kaanan miaka mitatu kombe letu...makombe matatu kwa msimu...Robo fainali CL...Mo Arena kwenye progress...Simba Queens mabingwa wakiwavua utawala JKT Queens

Ushauri ni kwamba watafute kazi nyingine ujanjaujanja umebana kote tu siyo Simba peke yake...na wale wenye wivu waache wivu wa "Kike"
 
Mimi kama shabiki nisiye mwanachama wa timu, nachotaka timu ishinde makombe nifurahi tu. Suala la timu inamilikiwa na nani halinihusu kabisa
 

He has a point balance story hajaongea total rubbish pls, you too have a point, what if MO was to quit today?what would be the situation with Simba SC?, how predictable is the Mo Dewiji situation with Simba SC as of now?
There is a lot to argue, Simba SC as a company/institution/Organization how rooted is it in terms of legal structure and other structures for it's sustainability with the recent reforms that the club went through in recent years? Club liquidity and it's assets, lastly a funny question, What/Who is Simba SC any way? Sporadic/spontaneous enterprises mgt has its own cost let's live the bite!. Wasaalam
 
Wewe ndio Boya no 1.yaani ulitaka awekeze pesa zake alafu asipate faida yeyote.Mimi kama mshabiki na mpenzi wa Simba nasema yote sawa kikubwa kwetu ni burudani na tunaipata basi.
Nisome vizuri we kenge. Ninachokiona ni kenge kama wewe mnaodhani Mwamedi anaisaidia Simba wakati ni biashara Kama makubaliono ni kuweka 20b aweke. Mbona yeye ameanza kujipa sujui Mwenyekiti wa Bodi, anatangaza biashara zake kupitia Simba, Sasa kwanini anafanya ujanja ujanja, aweke fedha ziwe mali ya Simba na Simba wafanye mambo kwa kutumia fedha za Simba siyo zake, siyo kila siku anajidai fedha anatoa yeye.
 

Azam 5B
Sportpesa 5B
Vodacom 5B

Jumla = 15B

Halafu Mtu kama wewe unajifanya Mjuwaji
 
Mo aendelee kuwepo pale Simba ili mambo yaendelee kuwa mazuri zaidi ya sasa.kama kuna faida kubwa Mo anapata basi azidikupata na Simba itazidi kunawiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…