Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Mnaosema mkipiga Jackpot mnaanza nae sijui mtamnunulia BMW ndio mgonge, lol

Manzi anaonekana ana shida balaa laki yako tu +chakula+ vinywaji unakula usiku mzima,

Halafu wa hivyo hua sio wa kurudia, one night stand inatosha.

Kwani mwenye shida akihongwa BMW wewe inakuuma nini? I thought ndo vizuri kumpa zaidi mwenye shida kuliko mwenye nacho?

Huyu anapaswa apewe nanii kabisa au basi.
 
Huyu fetty asikutishe sana....mzuri ila sio hadi wakumfungulia uzi,,Skuiz naona anatrend,enz hzo ndo katoka kwao tanga kutwa hakauki Facebook [emoji2][emoji23],,hata ukichat nae utacheka.

🤣 umeanza sound haitwi Fetty umepigwa.
 
Nilipokuwa huko Chuga nilisikia Vijana flani wakiwaponda eti Ni wazuri Ila Wana ubongo mdogo Sana,je Kuna ukweli wa hili mkuu?
Ni kweli kabisa haina ubishi, kuna mmoja nilikutana naye Babati mtoto mkali sana ana mzigo kama sega la asali nikamlia rada nikafanikiwa kufanya date, pumbafu kikaja na kibasha chake eti ananizuga kaka yake, akili zika icheza nikasepa zangu
 

Huyu je ?
 
Ni kweli kabisa haina ubishi, kuna mmoja nilikutana naye Babati mtoto mkali sana ana mzigo kama sega la asali nikamlia rada nikafanikiwa kufanya date, pumbafu kikaja na kibasha chake eti ananizuga kaka yake, akili zika icheza nikasepa zangu
Ha haaa kwamba wajisosomole mikuku halafu baadae uambiwe Kaka noma tutaonana kesho
 
Hivi videmu mnavipa sifa ambazo havina ,na nimeelewa kwann wakati mwingine vinavimba vimba wakat vya kawaida tu.

Fikiria kikipitia huu uzi ,hata km Kuna mwamba amekipa ofa ya laki si kita refuse kwa kuona hiyo pesa sio hadhi yake.

Yaan kweli mwanaume unawaza umnunulie demu Kama huyu Bmw x5 kisa mbususu yake!

Hakika wanaume tunatofautiana Sana .hako kademu ni kazuri lakin sio kwa viwango hivyo, humu mitaan Kuna watoto wazur balaa zaidi ya huyo na wadau wanakula kiroho Safi Tena kwa dau dogo mno na ujanja ujanja wa kuchezaesha maneno ya hapa na pale na wanajua balaa sex yaan unapewa kitu roho unataka sema hawapo mitandaoni km huyu .

Huyu manzi ukishamla kwa kumpa 500k baada ya tendo unaweza jilaumu Sana na kujiona bonge moja la fala.

Alafu hivi vibint filter nazo zinafanya Kaz kutana nae uso kwa uso utakuta normal tu sio kwa viwango hivyo.

Narudia tena pita pita mitaan hasa changanyiken Kuna kuku wa kienyeji kuzidi huyo broiler.
 
UNAWEKA PICHA ZA EDITING KISHA UNASIFIA UREMBO!??
#FOOL
 
Hivi videmu mnavipa sifa ambazo havina ,na nimeelewa kwann wakati mwingine vinavimba vimba wakat vya kawaida tu.

Fikiria kikipitia huu uzi ,hata km Kuna mwamba amekipa ofa ya laki si kita refuse kwa kuona hiyo pesa sio hadhi yake.

Yaan kweli mwanaume unawaza umnunulie demu Kama huyu Bmw x5 kisa mbususu yake!

Hakika wanaume tunatofautiana Sana .hako kademu ni kazuri lakin sio kwa viwango hivyo, humu mitaan Kuna watoto wazur balaa zaidi ya huyo na wadau wanakula kiroho Safi Tena kwa dau dogo mno na ujanja ujanja wa kuchezaesha maneno ya hapa na pale na wanajua balaa sex yaan unapewa kitu roho unataka sema hawapo mitandaoni km huyu .

Huyu manzi ukishamla kwa kumpa 500k baada ya tendo unaweza jilaumu Sana na kujiona bonge moja la fala.

Alafu hivi vibint filter nazo zinafanya Kaz kutana nae uso kwa uso utakuta normal tu sio kwa viwango hivyo.

Narudia tena pita pita mitaan hasa changanyiken Kuna kuku wa kienyeji kuzidi huyo broiler.

Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Ukijua hili hutopata shida.

500k is nothing hata kwa mwenye hela za mboga tu. BMW is nothing kwa mwenye mpunga wa maana.

Mzee Mengi kawapa shingapi Jack na Madam Ritha kuwapata? Call it what you will hongo au msaada.

Kuna mtu alisema hawezi ipa pisi 100M hata kama anaingiza 1B ila wakati huo huo anahonga 100k wakati anaingiza 1M. Kimsingi anachofanya ni kile kile ila hana uwezo tu.

Tumia pesa maisha ndo haya haya. Kama huna hela don't sweat it.
 
Back
Top Bottom