Hivi videmu mnavipa sifa ambazo havina ,na nimeelewa kwann wakati mwingine vinavimba vimba wakat vya kawaida tu.
Fikiria kikipitia huu uzi ,hata km Kuna mwamba amekipa ofa ya laki si kita refuse kwa kuona hiyo pesa sio hadhi yake.
Yaan kweli mwanaume unawaza umnunulie demu Kama huyu Bmw x5 kisa mbususu yake!
Hakika wanaume tunatofautiana Sana .hako kademu ni kazuri lakin sio kwa viwango hivyo, humu mitaan Kuna watoto wazur balaa zaidi ya huyo na wadau wanakula kiroho Safi Tena kwa dau dogo mno na ujanja ujanja wa kuchezaesha maneno ya hapa na pale na wanajua balaa sex yaan unapewa kitu roho unataka sema hawapo mitandaoni km huyu .
Huyu manzi ukishamla kwa kumpa 500k baada ya tendo unaweza jilaumu Sana na kujiona bonge moja la fala.
Alafu hivi vibint filter nazo zinafanya Kaz kutana nae uso kwa uso utakuta normal tu sio kwa viwango hivyo.
Narudia tena pita pita mitaan hasa changanyiken Kuna kuku wa kienyeji kuzidi huyo broiler.