Sasa vijana wenyewe ndiyo Hawa ambao akili zimeishia kwenye betting, udangaji, ulevi, ulawiti, n.k. Kwann warirudishwe mababu?Swala siyo uvunjivu wa katiba je ni kweli hakuna mtanzani mwingine Mwenye akili na umri unaomruhusu unang'ang'ania vibabu?
Kwa mazoezi anayofanya hapa Msoga atapiga miaka mara 2 ya mzee Mwinyiumejiuliza kufika 2030 jk atakuwa kikongwe mwenye umri wa miaka mingapi?
It's a ban for life ndugu (kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizoundwa toka kifungu hicho)In summary,kifungu cha pili kinazuia mtu kukaa madarakani zaidi ya mihula miwili continuously. Ila hakimzuii kurudi tena na kugombea.
Huo ndio uelewa wangu, naomba ufafanuzi wako
kwamba atafika 190?.....acha kuvuta sigara unayovutaKwa mazozi anayofanya hapa Msoga atapiga miaka mara 2 ya mzee Mwinyi
Mkuu trust me! Hata kama hatafikisha hapo lkn atasogea Sana. Hebu muangalie jinsi anavuoonekana hv sasa? Akienda usukumani wasikomjua anaweza kuozeshwa binti wa maiaka 19.kwamba atafika 190?.....acha kuvuta sigara unayovuta
Sina uhakika na tafsiri sahihi ya hicho kifungu. Nitaendelea kuulizia zaidi.It's a ban for life ndugu (kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizoundwa toka kifungu hicho)
Ngoja siku akifa ndio utajua watanzania wana hisia gani juu yakeWatumishi wauma walipandishwa madaraka, vyeo na masurufu yao kuwa juu.
Vyama vya upinzani walifanya mikutano yao ya hadhara nchi nzima
Wafanyabiashara walineemeka kweli kweli
Wakulima ndiyo usiseme.
Machinga we acha tu
Nani kama Kikwete???
Hujui kuwa alirudi mahakamani tangu march mwaka jana na ndio maana ufisadi umeongezeka kwa kasi ya 5GRais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.
Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-
1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.
2. Uwepo wa covid-19 bungeni
3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.
4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.
5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)
Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.
Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Nimekasirishwa na uvunjwaji wa katiba unaoendelea lkn inaonesha tumeridhika na tunafurahia.wewe kama msomi how can u suggest katiba ivunjwe badala ya kuhakikisha katiba inasimamiwa?
Si vamosVamooooooooooooos 🇦🇷
Wengine hatujaiona. Labda utuwekee hapa tuioneKuna video inasambaa ya justice 2023 Mei hatujui ni justice ya nini!!