Mhafidhina 2
Member
- Jan 23, 2021
- 13
- 7
🤣🤣Tulishangilia kwa yule dikteta mpk polisi wakaanza kuwakamata watu na sukuma gang wakaandaa walevi na wavuta bangi waigize wamezimia, lkn wakajisahau wakazimia huku wameshikilia mifuko ya plastiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Tulishangilia kwa yule dikteta mpk polisi wakaanza kuwakamata watu na sukuma gang wakaandaa walevi na wavuta bangi waigize wamezimia, lkn wakajisahau wakazimia huku wameshikilia mifuko ya plastiki
Hakuna sehemu katiba inasema rais akimaliza muda wake anaweza kuja kugombea tenaUmejenga hoja kirahisi sana. Eti sasa hivi katiba haifatwi, so hakuna haja ya kuendelea kuifata.
Ukiwa msomi, yafaa ujenge hoja kisomi. Ninachojua katiba inasema after vipindi viwili vya uongozi, rais anatakiwa akae pembeni,kupisha wengine kwanza then anaweza kurudi upya (am not so sure kama nipo sahihi)
Ila kitendo cha wewe kusema katiba isifatwe, inafanya bandiko lako lote liwe invalid
Unaongeleaje Tanzania, ila reference ni katiba ya Uganda? Katiba ya uganda haiwez kufunction Tz.Kama ile ya Uganda
Kwani Mimi nimesemaje mkuu?Hakuna sehemu katiba inasema rais akimaliza muda wake anaweza kuja kugombea tena
JK ana mengi mema na mabaya pia. Anapoonekana sana awamu hii maana yake amepewa uhuru huo na SSH akiwa kama mwanasiasa mwandamizi mwenye uwezo wa kutumwa mahali na akaenda kutekeleza maagizo.Rais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.
Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-
1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.
2. Uwepo wa covid-19 bungeni
3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.
4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.
5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)
Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.
Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Yaani kuna watu ni wapuuzi kupindukia.. Hata sijui wanafikiriaga kwa kutumia nini..??umejiuliza kufika 2030 jk atakuwa kikongwe mwenye umri wa miaka mingapi?
Hujitambui justice is coming whether you like it or not.Asante kwa kunitonya. Nimeangalia mkuu.....maoni yangu kuhusu hiyi clip ni haya;-
Huyo anatumika Kama toilet paper na sukuma gang. Kwasabb justice anayoiongelea kwenye hiyo clip eti ni kufichuliwa kwa phone calls, sms na paper zilizotumika kupanga njama za kumuua jiwe.
Sasa zikifichuliwa ndiyo itakuwa nn?
Jiwe alistahili kufa na vema alivyokufa kwasabb alikuwa analipeleka taifa mahala pabaya. Mtu mmoja kufa ili kuokoa taifa hata Mungu anaturahua.
Huyu mhuni (nabii uchwara) katumwa na sukuma gang! Hakuna kitu kitatokea trust me!
PoaRais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.
Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-
1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.
2. Uwepo wa covid-19 bungeni
3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.
4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.
5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)
Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.
Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Mkuu umesahau hapo neno Plus+Chawa pro-giga-max
This country will be back on the hands of Jesus.Hao mafisadi kina bt watasambaratishwa.hakuna watu walioharibu hii nchi kama hao Wa msoga.wameharibu Kwa ufisad.but this country belongs to God and soon God will take his country back.Asante kwa kunitonya. Nimeangalia mkuu.....maoni yangu kuhusu hiyi clip ni haya;-
Huyo anatumika Kama toilet paper na sukuma gang. Kwasabb justice anayoiongelea kwenye hiyo clip eti ni kufichuliwa kwa phone calls, sms na paper zilizotumika kupanga njama za kumuua jiwe.
Sasa zikifichuliwa ndiyo itakuwa nn?
Jiwe alistahili kufa na vema alivyokufa kwasabb alikuwa analipeleka taifa mahala pabaya. Mtu mmoja kufa ili kuokoa taifa hata Mungu anaturahua.
Huyu mhuni (nabii uchwara) katumwa na sukuma gang! Hakuna kitu kitatokea trust me!
😀😀Mkuu umesahau hapo neno Plus+
Nenda BurundiRais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.
Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.
Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-
1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.
2. Uwepo wa covid-19 bungeni
3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.
4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.
5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)
Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.
Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.