Huyu mstaafu tumrudishe Ikulu 2030. Mnasemaje bhandugu?

Huyu mstaafu tumrudishe Ikulu 2030. Mnasemaje bhandugu?

Tulishangilia kwa yule dikteta mpk polisi wakaanza kuwakamata watu na sukuma gang wakaandaa walevi na wavuta bangi waigize wamezimia, lkn wakajisahau wakazimia huku wameshikilia mifuko ya plastiki
🤣🤣
 
Umejenga hoja kirahisi sana. Eti sasa hivi katiba haifatwi, so hakuna haja ya kuendelea kuifata.

Ukiwa msomi, yafaa ujenge hoja kisomi. Ninachojua katiba inasema after vipindi viwili vya uongozi, rais anatakiwa akae pembeni,kupisha wengine kwanza then anaweza kurudi upya (am not so sure kama nipo sahihi)

Ila kitendo cha wewe kusema katiba isifatwe, inafanya bandiko lako lote liwe invalid
Hakuna sehemu katiba inasema rais akimaliza muda wake anaweza kuja kugombea tena
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.

Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.

Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-

1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.

2. Uwepo wa covid-19 bungeni

3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.

4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.

5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)

Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.

Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
JK ana mengi mema na mabaya pia. Anapoonekana sana awamu hii maana yake amepewa uhuru huo na SSH akiwa kama mwanasiasa mwandamizi mwenye uwezo wa kutumwa mahali na akaenda kutekeleza maagizo.

Ni suala jema kwa nchi yenye amani kuwa na wastaafu wanaochangia mawazo katika uendeshaji wa serikali, JK sio wa kumuonea wivu kwa nafasi yake ya uongozi ni wa kukubaliana tu na uwepo wake kama mstaafu mwenye faida kwa taifa.

Zipo nchi tena majirani zetu rais aliyepo ikulu hawezi kumtuma yule mstaafu, tumshukuru Mungu kwa hili.

Zipo nchi tena majirani zetu rais anapohutubia bungeni kule katika jukwaa la wageni huwa hakuna mstaafu hata mmoja, sijui kama tunatambua huu utofauti tulionao kwa kulinganisha na wanaotuzunguka.
 
Asante kwa kunitonya. Nimeangalia mkuu.....maoni yangu kuhusu hiyi clip ni haya;-

Huyo anatumika Kama toilet paper na sukuma gang. Kwasabb justice anayoiongelea kwenye hiyo clip eti ni kufichuliwa kwa phone calls, sms na paper zilizotumika kupanga njama za kumuua jiwe.

Sasa zikifichuliwa ndiyo itakuwa nn?

Jiwe alistahili kufa na vema alivyokufa kwasabb alikuwa analipeleka taifa mahala pabaya. Mtu mmoja kufa ili kuokoa taifa hata Mungu anaturahua.

Huyu mhuni (nabii uchwara) katumwa na sukuma gang! Hakuna kitu kitatokea trust me!
Hujitambui justice is coming whether you like it or not.
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.

Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.

Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-

1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.

2. Uwepo wa covid-19 bungeni

3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.

4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.

5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)

Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.

Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Poa
 
Asante kwa kunitonya. Nimeangalia mkuu.....maoni yangu kuhusu hiyi clip ni haya;-

Huyo anatumika Kama toilet paper na sukuma gang. Kwasabb justice anayoiongelea kwenye hiyo clip eti ni kufichuliwa kwa phone calls, sms na paper zilizotumika kupanga njama za kumuua jiwe.

Sasa zikifichuliwa ndiyo itakuwa nn?

Jiwe alistahili kufa na vema alivyokufa kwasabb alikuwa analipeleka taifa mahala pabaya. Mtu mmoja kufa ili kuokoa taifa hata Mungu anaturahua.

Huyu mhuni (nabii uchwara) katumwa na sukuma gang! Hakuna kitu kitatokea trust me!
This country will be back on the hands of Jesus.Hao mafisadi kina bt watasambaratishwa.hakuna watu walioharibu hii nchi kama hao Wa msoga.wameharibu Kwa ufisad.but this country belongs to God and soon God will take his country back.
 
hana ajabu lolote alilofanya kwa miaka yake 10 ya awamu ya nne sana sana aliliingiza Taifa na Chama Cha Mapinduzi(CCM) kwenye shida.

hana nguvu wala ujana wowote msimdanganye kazeeka akae alee wajukuu.
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne bado ana nguvu za kimwili na kiakili na bado anapendwa na watanzania.

Najitokeza hadharani kumshauri na kumpa shime 2030 achukue fomu ya kugombea urais wa nchi hii.

Ndugu msomaji usije kupinga wazo langu kwa hoja za ukiukwaji wa katiba. Katiba ya Tanzania haifuatwi mpk muda huu tunavyoongea. Mifano ya dhahiri ya uvunjwaji wa katiba hii hapa;-

1. Kuzuiwa kwa vyama vya siasa vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara.

2. Uwepo wa covid-19 bungeni

3. Utawala wa jiwe kumuondoa ofisini aliyekuwa CAG, Prof. Assad.

4. Kuteuliwa kwa Dr. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi wakati alikuwa hana sifa. Katibu mkuu anapaswa kuwa balozi mwandamizi kama ilivyo kwa balozi Katanga, balozi Ombeni Sefue, nk. Jiwe akafanya ujanja ujanja wa kummvika ubalozi Dr. Bashiru na muda huo huo kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi.

5. N.k (na wewe unayesoma ongezea mifano mingine usinichoshe. Kwani umenilipa?)

Kwahiyo, unapochangia hoja hii tafuta sababu nyingine siyo suala la katiba. Nchi hii katiba haifuatwi.

Marafiki wa karibu wa mzee Kikwete mwambieni chonde chonde arudi ikulu 2030.
Nenda Burundi
 
Kwa hiyo ivunjwe Katiba ili iweje?
Ndio maana yake.
Useless kabisa hii

.
Mkono kule Kichwa nyumani. tumbo mbele.
 
Back
Top Bottom