Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ni lugha mkuu elewa mada basi. Sijakataa kuwa kuna watu wanaelewa kiarabu,ila mimi nisieelewa kwanini nisiseme? Kiarabu ni lugha yetu? TV ya taifa unaruhusiwa kuongea lugha yoyote unayoipenda kisa tu unaijua?Kama ukiona ww hupendi utangazaji wake na wengine wanapenda bc ujue jamaa yupo vizuri, ht ww binafsi hakikisha jambo unalofanya kuwe na watu wanalikubali na wengine kulikataa.
Lugha anayotumia siielewi mkuu,kama unaelewa kiarabu bado sio sawa,hii ni TV ya taifa huwezi ongea lugha yoyote kisa tu we ni mtangazaji unajua lugha. Ndio maana nikahoji their professionalismAcha kuchukulia kila kitu serious mambo madogo hayo mkuu
Vitu vya bure vina gharamaLeo naangalia fainali ya AFCON kupitia TBC1 kutokana na mazingira niliyopo. Ila cha ajabu huyu mtangazaji somebody Upete anaboa anatuongelea kiarabu, hivi ndio professionalism yenu hii TBC1?
Au hamjui sio wote wanaelewa hiyo lugha? Mnawatoa wapi hawa watangazaji wanajifanya mamwinyi waarabu wa kuokota?
Yaani TV ya taifa kabisa? Ingekua kama Azam au Wasafi angalau isingekua na shida.
Naona hii second half kapunguza uarabu wake,labda wamemtonya....saizi hadi anasema incredible badala ya viarabu vyake
Siku hizi hakuna watangazaji wa mpira.wako wapiga stori.Sana,mchezaji kudondoka tu anaongea maneno mia mbili mara sijui kalambishwa nyasi na blablah kibao. Sijui wanawaokota wapi hawa watangazaji wanalitia taifa aibu
anajua sana..Mwamba sana jamaa, namkubali knoma.
Mpira ni burudani lkn naona watu mnataka atangaze kama anahubiri Biblia au Quran
Kwani Kiingereza ni lugha yetu mkuu? Mbona kuna sehemu ulisema bora angeongea kingereza?Hoja ni lugha mkuu elewa mada basi. Sijakataa kuwa kuna watu wanaelewa kiarabu,ila mimi nisieelewa kwanini nisiseme? Kiarabu ni lugha yetu? TV ya taifa unaruhusiwa kuongea lugha yoyote unayoipenda kisa tu unaijua?
Bora abaki TBC tuu, Azam pale atafaidi mshahara mzuri tuu ila kulogwa nje njeanajua sana..
inatakiwa awe pale Azam Tv
Mm sielewi Kiarabu na napenda utangazaji wake.Hoja ni lugha mkuu elewa mada basi. Sijakataa kuwa kuna watu wanaelewa kiarabu,ila mimi nisieelewa kwanini nisiseme? Kiarabu ni lugha yetu? TV ya taifa unaruhusiwa kuongea lugha yoyote unayoipenda kisa tu unaijua?