Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajui anapiga kelele tu, kama uliangalia mechi ya jana ilipoisha tu akaanza kuongea utumbo fujo fujo kelelele ovyooDaah, wazee tupunguze chuki kwa kijana..,binafsi sina shida na hilo na kiukweli nikiri sijawahi kuona mtangazaji katika umri wake akawa anajua kutangaza na kuwa na wingi wa maneno kama yake.
Hongera sana Nazareth Upete, unajua sana mzee!
Huyu jamaa limbukeni sana sijui anabwana uarabuni?Tumekula mkuu, ila TBC1 wanatuletea njaa tu saizi yaani limefungwa goli jamaa anatiririka kiarabu na kushusha dua mwanzo mwisho. Mwanzoni wakati mechi inaanza sikujali nikajua anachomekea tu
Angeongea kizayuni saa hii uzi umechafuka. Kiarabu ni lugha ya Allah.Angeongea kizungu mngeona jamaa kasoma sana UNAONGEA kiingireza.!!! Watanzania ni watu wakuwashikiwa akili sana
Ningeliaaa😂😂😂sema hakuna muda niliopoteza coz shule nazionaga tu nikipita nje sijawahi kusoma...😂😂😂Soma kwa makini ulichoandika kisha lia kwa muda uliopoteza shule.
Hawajalipia ndio kiswahili sahihi na hiyo yako ni kilugha.Hawajaripia.. Uarabuni wanarusha bure
Huu ujinga wa kujifanya kila mtu mwarabu umetamalaki Sana awamu hii ya kizmkazi.
Kingereza ni lugha rasmi nchini Tanzania hata bungeni inatumika, mahakamani , mashuleni, kwenye vyuoo na hata nyaraka nyingi za serikali ziko kwa hiyo lugha hivyo sio noma kutumia lugha ya kingereza kwenye vyombo vya habari.Kwani Kiingereza ni lugha yetu mkuu? Mbona kuna sehemu ulisema bora angeongea kingereza?
Tbc walipofeli ni kuweka chaneli zote Tbc1 na Tbc2 matangazo ya kiswahili. Tbc1 wangeacha kiswahili na Tbc2 wangeacha Kiingereza kama wanavyoyapokea matangazo toka nje kama walivyokuwa wanafanya TVE. Hii inakuwa inatoa chaguo Kwa mtazamaji. Ambaye hapendi matangazo ya mpira ya kiswahili angeangalia Tbc2 na asiyeoenda Kiingereza angebaki Tbc1. Naamini Kuna shida ya kiuongozi mahali.Ndio maana unaambiwa acha kuchukulia kila kitu serious, Upete anaweka mbwembwe tu, maneno anayotamka Wala hayana maana yoyote, ni Kama mtu anayenena kwa lugha.
Kwanza hata kiarabu upete hajui.
Hizi pigo alianza tangu kipindi Cha world cup coz ilikuwa katika ardhi ya waarabu. Baada ya kuona watu wanazikubali ndo kaamua kutumia Kama identity yake.
Mimi sikusema hajui,nilisema lugha anayotumia sio official na baadhi hatuijui, inamaana ni ruksa hata kutangaza kinyakyusa,kisukuma kikurya etc?basi mm hapo Azam tv ndio nililala kabisa niliamshwa magoli yalipoingia na pale waliposifia maua lkn ningejua Upwete yupo TBC ningehamia huko nisingelala
We nae elewa mada basi, hatuwakatalii hicho kiarabu chenu ongeeni mkiwa wenyewe sababu mnaelewana,sio mtuletee kwenye matangazo na sio lugha official. Akili yako ndogo inawaza udini tuAngeongea kizayuni saa hii uzi umechafuka. Kiarabu ni lugha ya Allah.
Jinga kabisa kwanza anadanganya sana hata takwimubza wachezajiNdio maana unaambiwa acha kuchukulia kila kitu serious, Upete anaweka mbwembwe tu, maneno anayotamka Wala hayana maana yoyote, ni Kama mtu anayenena kwa lugha.
Kwanza hata kiarabu upete hajui.
Hizi pigo alianza tangu kipindi Cha world cup coz ilikuwa katika ardhi ya waarabu. Baada ya kuona watu wanazikubali ndo kaamua kutumia Kama identity yake.
Ww ni mpumbavu na uliye jaa chuki za kichawi tu.We nae elewa mada basi, hatuwakatalii hicho kiarabu chenu ongeeni mkiwa wenyewe sababu mnaelewana,sio mtuletee kwenye matangazo na sio lugha official. Akili yako ndogo inawaza udini tu
Acha kutumia kiswahili maana asilimia 60 ya maneno yake yanatokana na lugha ya kiarabu.Kingereza ni lugha rasmi nchini Tanzania hata bungeni inatumika, mahakamani , mashuleni, kwenye vyuoo na hata nyaraka nyingi za serikali ziko kwa hiyo lugha hivyo sio noma kutumia lugha ya kingereza kwenye vyombo vya habari.
Kwa hiyo kama yanatokana na lugha ya kiarabu ndio niache kutumia, nini msingi wa hoja yako sasa.Acha kutumia kiswahili maana asilimia 60 ya maneno yake yanatokana na lugha ya kiarabu.
Yaani huwa anarukaruka tuu... maneno meeengi😆😆...Evans ujanja mwingi kumbe umemstukia anarukia rukia data
Huna akili .Kwa hiyo kama yanatokana na lugha ya kiarabu ndio niache kutumia, nini msingi wa hoja yako sasa.