Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evans ujanja mwingi kumbe umemstukia anarukia rukia dataHuwa ananiboa sana yule... niliamua kuachana kuangalia mpira TBC... nikaja kwa kina Mbwaduke huku na kina Nyembere...
Hata Evans Muhando ni muhuni tu kwenye kuchambua soka... ujanja ujanja tuu...[emoji38][emoji38][emoji38]
Saa hivi ni kawaida nadhani ni matokeo ya kiarabu kufundishwa kwenye baadhi ya shule na watu kutaka kujiweka ki utofauti ili waonekane wanajua lugha nyingiTumekula mkuu, ila TBC1 wanatuletea njaa tu saizi yaani limefungwa goli jamaa anatiririka kiarabu na kushusha dua mwanzo mwisho. Mwanzoni wakati mechi inaanza sikujali nikajua anachomekea tu
🤣🤣🤣🤣🤣Huu ujinga wa kujifanya kila mtu mwarabu umetamalaki Sana awamu hii ya kizmkazi.
🤣🤣🤣Sana,mchezaji kudondoka tu anaongea maneno mia mbili mara sijui kalambishwa nyasi na blablah kibao. Sijui wanawaokota wapi hawa watangazaji wanalitia taifa aibu
MkuuTatizo lugha,why atumie kiarabu asitumie hata kiingereza basi kama kiswahili ni tatizo kwake
Wafanyakazi wa Azam wengi wanavaa yale mapete makubwa ya uchawi.Bora abaki TBC tuu, Azam pale atafaidi mshahara mzuri tuu ila kulogwa nje nje
Tena mjinga sana yule mtoto.Upete nasemaga kila siku hakuna commentary pale ni makelele uongo na ujinga ujinga mwingi
Utasikia Cape Verde lazima niende yaani hakuna kabisa utangazaji wa mpira ni makelele kwenda mbele.Wale Mabwana kwenye 'Kioo' wakionekana Wanawake warembo wataacha chochote wanachoongelea utasikia,
"Na hayo ni Maua, naam' Uhuni mtupu.
Soma kwa makini ulichoandika kisha lia kwa muda uliopoteza shule.Ndio maana unaambiwa acha kuchukulia kila kitu serious, Upete anaweka mbwembwe tu, maneno anayotamka Wala hayana maana yoyote, ni Kama mtu anayenena kwa lugha.
Kwanza hata kiarabu upete hajui.
Hizi pigo alianza tangu kipindi Cha world cup coz ilikuwa katika ardhi ya waarabu. Baada ya kuona watu wanazikubali ndo kaamua kutumia Kama identity yake.
Ndio maana unaambiwa acha kuchukulia kila kitu serious, Upete anaweka mbwembwe tu, maneno anayotamka Wala hayana maana yoyote, ni Kama mtu anayenena kwa lugha.
Kwanza hata kiarabu upete hajui.
Hizi pigo alianza tangu kipindi Cha world cup coz ilikuwa katika ardhi ya waarabu. Baada ya kuona watu wanazikubali ndo kaamua kutumia Kama identity yake.
Kabwege sana hako katoto.Nilitaka kuleta Uzi kuhusu hili umeniwahi,yaani yeye mwenyewe anajiona mjanja kumbe bwege tuu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app