Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
wanawake mko hivyo, wepesi wa hsia , kudanganywa , kugilibiwa etc etc. Hukuona jana, Kimaro kurudi Kijitonyama wamama wamelia kama wamewekwa betri!
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
You are being manipulated.
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Kwisha kabisa.
Huyu dada ana pepo za utambuzi...mpunga pepo.
Ukijihusisha umekwisha kabisa polee
 
Hapana ni mteja....na sio mara kwanza kununua...ila hakunikuta Mimi alimkuta kijana na mfumo WA biashara yangu lazima ningejua SI mteja...
Alafu usiniite mijitu bro...
Mzoee jamaa kauli zake ndivyo zilivyo🤣
 
Hapana hakunishika.....na amenunua na amelipia...yeye anasisimka namuona na Mimi nasisimka
Kpnd mnaongea alikushika? U ulipompa bidhaa alikushika.

Kuna dawa mtu akikukugusisha tu unahisi hivyo, hapa mjini kawaida sana na kuna kpnd zilitrend balaa
 
Na ndiyo maana haishangazi kuona matapeli wengi wanafanikiwa kuwaibia watu wa jinsia yako zaidi, kuliko hii ya kwetu!

Na hii inatokana na ukweli kwamba mioyo yenu ni myepesi sana kwenye kuamini.

NB: Ni kosa kubwa kuruhusu eneo lako la biashara kugeuka kuwa kijiwe cha soga, kupiga umbea, kuruhusu story na watu usio wafahamu, nk.
 
Na ndiyo maana haishangazi kuona matapeli wengi wanafanikiwa kuwaibia watu wa jinsia yako zaidi, kuliko hii ya kwetu!

Na hii inatokana na ukweli kwamba mioyo yenu ni myepesi sana kwenye kuamini.

NB: Ni kosa kubwa kuruhusu eneo lako la biashara kugeuka kuwa kijiwe cha soga, kupiga umbea, nk.
Nature ya biashara yangu ni kama salum...yaani huduma ninayoitoa hakuna namba yoyoye mteja asikae akahudumiwa..yaani mkuku mkuku unamkimbiza sio nature ya biashara yangu..
 
Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje

Siku zote kabla ya kukutana na huyo mwanamke, mbona hukuwa na wazo la kuzindika eneo lako?

Iweje baada ya kukutana na huyo mwanamke usiyemjua katu ndio uwe na kimuhemuhe cha kuzindika biashara zako?
 
Nature ya biashara yangu ni kama salum...yaani huduma ninayoitoa hakuna namba yoyoye mteja asikae akahudumiwa..yaani mkuku mkuku unamkimbiza sio nature ya biashara yangu..
All in all, ukishaingia kwenye hizo imani potofu; ujiandae pia kushindwa katika biashara zako. Maana biashara ndivyo ilivyo. Kuna siku unapata mapato ya kutosha, kuna siku mapato yatapungua.

Uvumilivu ndiyo kila kitu. Na ukiona mambo yanaenda tofauti na zamani, tafuta sababu hasa ni ipi! Ikiwezekana hamishia sehemu yenye uhakika. Ila siyo kwa kuwaamini hao watu wanao sisimsha mwili.
 
Siku zote kabla ya kukutana na huyo mwanamke, mbona hukuwa na wazo la kuzindika eneo lako?

Iweje baada ya kukutana na huyo mwanamke usiyemjua katu ndio uwe na kimuhemuhe cha kuzindika biashara zako?
Hahaahah yaani dah..
Naenda kupiga maombi ya losaa lizima Leo..
Ila hakunisistiza nikamwambia natumiaga chumvi ya mawe akasema pia nzuri...
Yaani kifupi kilichonishangaza ni Ile hali ya kusisimka balaaa.duh hatari
 
uyu mteja unajua anafanya biashara gani yeye?
makazi yake?
kuwa mteja wa kila siku sio hoja tosha
anaweza kuwa alikuwa anakulia timing ukiwa at your most lowest.
ni mipango tu.
na izo story mlizopiga ilikuwa ni psychology tricks
kuna maswali ukiulizana na mtu ananza kufunguka mwenyew na kubuild trust ata kama ni muda mfupi tu.
ndo wanaume tunatumiaga kuwatongoza!.
MANENO ULIOLISHWA NIKAMA PLACEBO!...

ILA ANYWAYS EMB JARIBU KUMDADISI
 
Back
Top Bottom