Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

Usipokee dawa zake, anataka akuunganishe kwenye vitu ambavyo vitakutesa huko mbeleni.
Ile wewe kutetemeka kuna kitu kigeni kipo kwako ambacho amekuwekea kinachompa taarifa zako.
Eeeh unanitisha zaidi uwiii....ndo Leo nimekutana nae ana Kwa ana
 
nawajua watu wa namna hyo, sometimes anakua anatafuna dawa yani ukiongea nae unahis kabisa unasisimka mwili mzima, hana lolote anataka akutapeli
Eeeh na yeye alikua ana sisimka
 
uyu mteja unajua anafanya biashara gani yeye?
makazi yake?
kuwa mteja wa kila siku sio hoja tosha
anaweza kuwa alikuwa anakulia timing ukiwa at your most lowest.
ni mipango tu.
na izo story mlizopiga ilikuwa ni psychology tricks
kuna maswali ukiulizana na mtu ananza kufunguka mwenyew na kubuild trust ata kama ni muda mfupi tu.
ndo wanaume tunatumiaga kuwatongoza!.
MANENO ULIOLISHWA NIKAMA PLACEBO!...

ILA ANYWAYS EMB JARIBU KUMDADISI
Mmmh yaani ili iweje Sasa .
Kwanini anitapeli..
Ni mjasiriamali..na Mimi nauza vifaa vya wajasiriamali...na kazi zake nimezoona kanionesha.maana ili uhudimiwe kama kitu unachokitaka ukioni unaonesha Kwa simu...
Ila katika kuongea akisema hao wadudu wamamfungia vitu vyake haviendi anatakani sana biashara...
Kwa kifupi bibie sio muongeaji sana..ila hali hiyo ya kusisimka nimemuona nayo na Mimi nimejisikia hivyo...uwiyano WA maneno ni nusu Kwa nusu....
Sikuonwa sana wala hakuongea sana..
 
Yaani kifupi kilichonishangaza ni Ile hali ya kusisimka balaaa.duh hatari

Sababu ya kusisimkwa ni kwamba umekutana na mtu si mzuri, kuna uwezekano mkubwa ni kiti cha majini...
 
Naapia Kwa jina la Mungu sijawahi hata kueka kijiti Cha mtu shamba ...yaani sijawahi naridhika na nipatacho..ni kikubwa sana japo Kwa wengine labda ni kidogo
Sasa hao hawapishani na wanaotuma sms za waganga , ni tapeli tuu
 
Eeeh unanitisha zaidi uwiii....ndo Leo nimekutana nae ana Kwa ana
  • Nikupe tu ushuhuda, miaka 12 iliyopita nilimtuma mke wangu kwenda mkoa x kununua shamba, huku akiwa na kiasi cha cash mkononi.​
  • Alipofika kule alichukua lodge, akalipia na baadaye akaenda kukagua shamba na akanipa taarifa za kimuonekano.​
  • Ile anarudi lodge akakutana na mkongo ambaye alijitambulisha ni mganga na yeye amefikia kwenye hiyo lodge, na yupo kule kwa ajili ya kuuguza watu​
  • mbaya zaidi, yule mkongo akawa anamwambia mke wangu abc za maisha yetu na ndugu, na ni kweli alikuwa anasema ukweli.​
  • Akamshawihi kuwa atampa dawa ili changamoto zilizopo ziishe.​
  • Baada ya wife kunijulisha kwa njia ya simu,nilipata mashaka na kuwasiliana na ndugu zangu pamoja na wakwe zangu​
  • Baada ya dakika 20 nilipata majibu,kuwa yule mtu si mzuri ameshamtamani mke wangu, na anataka aende naye nairobi, na hapo alipo kiimani ameshabadilishwa bila yeye kujijua​
  • Niliambiwa anatakiwa aondoke huko aliko bila kuchelewesha muda​
  • Kilichofanyika, muda huo huo ilibidi nimuambie aanze safari iwe kwa kukodi teksi mradi afike eneo fulani; kwa hiyo ile hela ya shamba ilitumika kwa nauli.​
  • Baada ya kufika kwa ndugu zake na kupelekwa kwa wazee, kuna dawa alifukiziwa na alizimia kama nusu saa, ikiwa na maana ule uchafu aliopewa unatakiwa urudi ulikotoka.​
  • Baada ya kuzinduka, mkongo alimpigia simu na kumuuliza umenifanyia nini.​
  • Wazee wakasema block hiyo namba na iwe fundisho kwake.​

Nachotaka kusema, usipokee kitu, ikiwezekana fanya maombezi utoe huo uchafu aliokutumia.​
 
I am too tired to explain. Alishawahi kuja kijana nyumbani kwangu ambae nilimpa bodaboda ya mkataba. Eti akanipandishia shetani akaanza kufunguka maneno mengi. Mara mke wangu katupiwa mavitu. Mara mimi siwezi kupiga golf zaidi ya moja kwa sababu nina vitu kichwani vinanoshika. Huu ni uwongo mkubwa yani tena kazi zangu sio za kuajiriwa mda mwingi nakula mbususu tu. .

Pili akatqja jina la babu yangu hapo nilishtuka kajuaje? ila ukweli nilikuja jua nilimtuma sehemu na aliona. Ila wakati ananieleza nilimsikiliza katika ujinga wake sikumjibu. Baadae akasema mimi nyota yangu ya udereva🤣🤣🤣 Mara watakuja watu wazima watanipigia magoti😀 Nikajisemea moyoni huyu mjinga angekuwa mganga angekuja kuchukua pikipiki kwangu? 😀

Sikumwambia chochote akamaliza akaondoka ila alivyoona sijahangaika nae hana la kufanya. Uzuri hela anarudisha hajawahi Sumbua. Ila wajinga ndio wanaotapeliwa. Unachokitaka au unachokihisi kuhusu wewe lazima kiwe. Ukienda chooni hata kama huna mavi ukijiambia unaweza kunya utakunya tu. .

TAPELI TAPELI TAPELI UTATAPELIWA ACHA KUWAZA UJINGA HUTOTOBOA. .
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Tangu uanze hio biashara una mda gani? Kuna jambo lolote baya limewahi kukuta kabla ya leo?
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Pokea ili nahicho kidogo ulichonacho kiondoke
 
Back
Top Bottom