Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

I am too tired to explain. Alishawahi kuja kijana nyumbani kwangu ambae nilimpa bodaboda ya mkataba. Eti akanipandishia shetani akaanza kufunguka maneno mengi. Mara mke wangu katupiwa mavitu. Mara mimi siwezi kupiga golf zaidi ya moja kwa sababu nina vitu kichwani vinanoshika. Huu ni uwongo mkubwa yani tena kazi zangu sio za kuajiriwa mda mwingi nakula mbususu tu. .

Pili akatqja jina la babu yangu hapo nilishtuka kajuaje? ila ukweli nilikuja jua nilimtuma sehemu na aliona. Ila wakati ananieleza nilimsikiliza katika ujinga wake sikumjibu. Baadae akasema mimi nyota yangu ya udereva🤣🤣🤣 Mara watakuja watu wazima watanipigia magoti😀 Nikajisemea moyoni huyu mjinga angekuwa mganga angekuja kuchukua pikipiki kwangu? 😀

Sikumwambia chochote akamaliza akaondoka ila alivyoona sijahangaika nae hana la kufanya. Uzuri hela anarudisha hajawahi Sumbua. Ila wajinga ndio wanaotapeliwa. Unachokitaka au unachokihisi kuhusu wewe lazima kiwe. Ukienda chooni hata kama huna mavi ukijiambia unaweza kunya utakunya tu. .

TAPELI TAPELI TAPELI UTATAPELIWA ACHA KUWAZA UJINGA HUTOTOBOA. .
Hahahahaha namshukuru nimeiwahisha humu kidogo nimepata nondo
 
  • Nikupe tu ushuhuda, miaka 12 iliyopita nilimtuma mke wangu kwenda mkoa x kununua shamba, huku akiwa na kiasi cha cash mkononi.​
  • Alipofika kule alichukua lodge, akalipia na baadaye akaenda kukagua shamba na akanipa taarifa za kimuonekano.​
  • Ile anarudi lodge akakutana na mkongo ambaye alijitambulisha ni mganga na yeye amefikia kwenye hiyo lodge, na yupo kule kwa ajili ya kuuguza watu​
  • mbaya zaidi, yule mkongo akawa anamwambia mke wangu abc za maisha yetu na ndugu, na ni kweli alikuwa anasema ukweli.​
  • Akamshawihi kuwa atampa dawa ili changamoto zilizopo ziishe.​
  • Baada ya wife kunijulisha kwa njia ya simu,nilipata mashaka na kuwasiliana na ndugu zangu pamoja na wakwe zangu​
  • Baada ya dakika 20 nilipata majibu,kuwa yule mtu si mzuri ameshamtamani mke wangu, na anataka aende naye nairobi, na hapo alipo kiimani ameshabadilishwa bila yeye kujijua​
  • Niliambiwa anatakiwa aondoke huko aliko bila kuchelewesha muda​
  • Kilichofanyika, muda huo huo ilibidi nimuambie aanze safari iwe kwa kukodi teksi mradi afike eneo fulani; kwa hiyo ile hela ya shamba ilitumika kwa nauli.​
  • Baada ya kufika kwa ndugu zake na kupelekwa kwa wazee, kuna dawa alifukiziwa na alizimia kama nusu saa, ikiwa na maana ule uchafu aliopewa unatakiwa urudi ulikotoka.​
  • Baada ya kuzinduka, mkongo alimpigia simu na kumuuliza umenifanyia nini.​
  • Wazee wakasema block hiyo namba na iwe fundisho kwake.​

Nachotaka kusema, usipokee kitu, ikiwezekana fanya maombezi utoe huo uchafu aliokutumia.​
Uwiii aisee
 
Hadi hapa ushapata jibu kwamba huna haja ya kusikiza habari zake...wala kufuata maagizo yake...
Amina..Bado namuamini Mungu ....Sasa ninamfunga asikanyage tena Kwa jina la yesu....
nilianza na Mungu na nipo na Mungu mpaka Sasa
Huwa usiku usingizi ukipaa natumia muda mwingi sana kusali.
Kusalia biashara yangu Huwa inanilia muda mwingi zaidi..
Kuna siku nilikua saluni Kuna mdada alipandiaha mapepo yaani Ile ishubnilishaisahau lakini Leo nimwikumbuka..maana dizaini flani tungeongeza hata dakika 1 yule alikua anapandisha
 
Kwani we biashara yako ilikuwa haendi. Maana isije kuwa anakuset utaanza chukua dawa kila uchwao
Nikwambie to be honest ni seasonal Kuna kipimdi utafunga hesabu kubwa Kuna kipimdi kawaida ila namshukuru Mungu kwani sio haba...ninapata sana.
Ila kutokea ndani ya moyo wangu huyu dada namuona sio tapeli...ila ni kweli atakua ana hao wadudu.
Maana sawa ni tapeli why asisimke mwili hivyo na Mimi nikawa napata reaction...
Hivi tuambiane TU ukweli mpaka vipele vimemsimama hivi jamani...
Shida ni nini?
 
Nikwambie to be honest ni seasonal Kuna kipimdi utafunga hesabu kubwa Kuna kipimdi kawaida ila namshukuru Mungu kwani sio haba...ninapata sana.
Ila kutokea ndani ya moyo wangu huyu dada namuona sio tapeli...ila ni kweli atakua ana hao wadudu.
Maana sawa ni tapeli why asisimke mwili hivyo na Mimi nikawa napata reaction...
Hivi tuambiane TU ukweli mpaka vipele vimemsimama hivi jamani...
Shida ni nini?
Mkuu tapeli huwa anakumanipulate akili anacheza na akili yako unaanza kuona ukweli hata kama haupo. Tapeli anaweza kukufanya uone hadi wachawi wakati hawapo.
Shida ya haya mambo ukiyaanza humalizi. Hapa ukianza kuroga na kuzindika utazindika milele daima hakunaga mwisho
 
Mkuu tapeli huwa anakumanipulate akili anacheza na akili yako unaanza kuona ukweli hata kama haupo. Tapeli anaweza kukufanya uone hadi wachawi wakati hawapo.
Shida ya haya mambo ukiyaanza humalizi. Hapa ukianza kuroga na kuzindika utazindika milele daima hakunaga mwisho
Akwepe huu mtego kwa kweli.
Huenda ni chuma ulete anataka aanze kuzichuma mpaka duka life mazima.
 
Mkuu tapeli huwa anakumanipulate akili anacheza na akili yako unaanza kuona ukweli hata kama haupo. Tapeli anaweza kukufanya uone hadi wachawi wakati hawapo.
Shida ya haya mambo ukiyaanza humalizi. Hapa ukianza kuroga na kuzindika utazindika milele daima hakunaga mwisho
Najua mpenzi......mambo ya kishetani hii stir hata aiwez mpigianmume wangu maana atanishangaa....namshuhudia sana Mungu kwenye maisha yangu...siwezi hata wazazi huo upande mwingine...
Ila Sasa mtu anakumanipulate vip mpaka unasiskmka?
Walahi ni next level
 
Najua mpenzi......mambo ya kishetani hii stir hata aiwez mpigianmume wangu maana atanishangaa....namshuhudia sana Mungu kwenye maisha yangu...siwezi hata wazazi huo upande mwingine...
Ila Sasa mtu anakumanipulate vip mpaka unasiskmka?
Walahi ni next level
Mkuu kama watu wanaweza manipuoate watu hadi ukaenda mwenyewe atm ukatoa pesa ukawapa pasipo kujitambua, kila kitu kinawezekana.
 
Anacheza na akili yake na design kampata. Akimruhusu na hizo dawa zake basi
Kanitext hapa kwamba kafika ...nablue tick afubnamuignore alafu nitamblok...
Sasa akija dukani sijui nitamtizamaje
 
Mkuu kama watu wanaweza manipuoate watu hadi ukaenda mwenyewe atm ukatoa pesa ukawapa pasipo kujitambua, kila kitu kinawezekana.
Ila mwishoni alisema dah nipe TU niondoke mama najisikia vibaya mnoo
 
Back
Top Bottom