Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Heri nusu shari kuliko shari kamili. Kama biashara zako zinaenda siku nyingine wafumha hesabu juu siku nyingine kawaida, pesa haipotei huyu usikubali akuletee mauza uza yake. Hapo itakuwa mwanzo wa mabalaaKanitext hapa kwamba kafika ...nablue tick afubnamuignore alafu nitamblok...
Sasa akija dukani sijui nitamtizamaje