Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

nawajua watu wa namna hyo, sometimes anakua anatafuna dawa yani ukiongea nae unahis kabisa unasisimka mwili mzima, hana lolote anataka akutapeli
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Ulimwengu wa biashara umetaliwa na nguvu, moja nguzu nyeusi au nguvu nyeupe
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Biashara yako utakuwa unaiendesha kishirikina , washirikina kwa washirikina ndo mambo huenda hvyo
 
All in all, ukishaingia kwenye hizo imani potofu; ujiandae pia kushindwa katika biashara zako. Maana biashara ndivyo ilivyo. Kuna siku unapata mapato ya kutosha, kuna siku mapato yatapungua.

Uvumilivu ndiyo kila kitu. Na ukiona mambo yanaenda tofauti na zamani, tafuta sababu hasa ni ipi! Ikiwezekana hamishia sehemu yenye uhakika. Ila siyo kwa kuwaamini hao watu wanao sisimsha mwili.
Namshukuru Mungu Kwa kweli napata kipato..aloyonieleezea SI mageni hapa nimezoeana na wapemba hapa hizo ndo stori zaom.
Hali iliyonitisha ni hiyo ya kusisimka
 
Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....

Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Kuna stori nilisikia. Wanakuja kama wanataka kukupa msaada, hua wana genge lao wanajifanya wanakuja kununua kwa wingi. Kumbe ni wao. Hapo utaona kama dawa yao inafanya kazi kisha watakwambia ongeza au wape hela kubwa ili biashara ichanganye zaidi. Hapo ndipo hupotea na hutowaona tena. Kazi kwako, za kuambiwa ongeza na zako.
 
Kuna stori nilisikia. Wanakuja kama wanataka kukupa msaada, hua wana genge lao wanajifanya wanakuja kununua kwa wingi. Kumbe ni wao. Hapo utaona kama dawa yao inafanya kazi kisha watakwambia ongeza au wape hela kubwa ili biashara ichanganye zaidi. Hapo ndipo hupotea na hutowaona tena. Kazi kwako, za kuambiwa ongeza na zako.
Trust me yeye sio WA kwanza kunipa hizo stori...
Na yeye kati ya wateja wangu wakubwa kanunua kawaida sana..
Mimi concern yangu japo mnamuita tapeli...ila Ile hali ya kusisimka yaani kwake nimeiyona maana vipelee vimemuota na Mimi nilikua nahisi hivyo
 
Kuna stori nilisikia. Wanakuja kama wanataka kukupa msaada, hua wana genge lao wanajifanya wanakuja kununua kwa wingi. Kumbe ni wao. Hapo utaona kama dawa yao inafanya kazi kisha watakwambia ongeza au wape hela kubwa ili biashara ichanganye zaidi. Hapo ndipo hupotea na hutowaona tena. Kazi kwako, za kuambiwa ongeza na zako.
Stor za mambo hayo haya maeneo nilipo wanazipigaga casually tum..yaani kawaida.
 
Usipokee dawa zake, anataka akuunganishe kwenye vitu ambavyo vitakutesa huko mbeleni.
Ile wewe kutetemeka kuna kitu kigeni kipo kwako ambacho amekuwekea kinachompa taarifa zako.
 
Trust me yeye sio WA kwanza kunipa hizo stori...
Na yeye kati ya wateja wangu wakubwa kanunua kawaida sana..
Mimi concern yangu japo mnamuita tapeli...ila Ile hali ya kusisimka yaani kwake nimeiyona maana vipelee vimemuota na Mimi nilikua nahisi hivyo
Hili tukio la kusisimka ndiyo limekuaminisha ya kwamba unahitaji msaada wa dawa zake? Hapana! Aisee. Ukiingia huko, hata hiyo biashara yako utaishia tu kuifunga.

Mimi ni kati ya watu wasioamini kabisa uwepo wa uchawi katika biashara.
 
Ingekua mapema ungeenda kanisa lololte la katoliki ukawaomba maji ya baraka ujimwagie
 
Biashara yako utakuwa unaiendesha kishirikina , washirikina kwa washirikina ndo mambo huenda hvyo
Naapia Kwa jina la Mungu sijawahi hata kueka kijiti Cha mtu shamba ...yaani sijawahi naridhika na nipatacho..ni kikubwa sana japo Kwa wengine labda ni kidogo
 
Hili tukio la kusisimka ndiyo limekuaminisha ya kwamba unahitaji msaada wa dawa zake? Hapana! Aisee. Ukiingia huko, hata hiyo biashara yako utaishia tu kuifunga.

Mimi ni kati ya watu wasioamini kabisa uwepo wa uchawi katika biashara.
Yaani kwanini nimesismka...yeye anasema ana wadudu hao wanaotaka awe mganga....ila Mimi kwanini Sasa nisismke?
 
Back
Top Bottom