Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimwengu wa biashara umetaliwa na nguvu, moja nguzu nyeusi au nguvu nyeupeNimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....
Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Biashara yako utakuwa unaiendesha kishirikina , washirikina kwa washirikina ndo mambo huenda hvyoNimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....
Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Namshukuru Mungu Kwa kweli napata kipato..aloyonieleezea SI mageni hapa nimezoeana na wapemba hapa hizo ndo stori zaom.All in all, ukishaingia kwenye hizo imani potofu; ujiandae pia kushindwa katika biashara zako. Maana biashara ndivyo ilivyo. Kuna siku unapata mapato ya kutosha, kuna siku mapato yatapungua.
Uvumilivu ndiyo kila kitu. Na ukiona mambo yanaenda tofauti na zamani, tafuta sababu hasa ni ipi! Ikiwezekana hamishia sehemu yenye uhakika. Ila siyo kwa kuwaamini hao watu wanao sisimsha mwili.
Kuna stori nilisikia. Wanakuja kama wanataka kukupa msaada, hua wana genge lao wanajifanya wanakuja kununua kwa wingi. Kumbe ni wao. Hapo utaona kama dawa yao inafanya kazi kisha watakwambia ongeza au wape hela kubwa ili biashara ichanganye zaidi. Hapo ndipo hupotea na hutowaona tena. Kazi kwako, za kuambiwa ongeza na zako.Nimeona niingie jamii forum kupoteza mawazo ila Bado akili imechanganya changanya hivi...nahisi kichwa sio kichwa nahisi vibaya vibaya.
Japo ukweli nimechoka lakini haiondoi maana kwamba hali yangu imebadilika tangu alivyokuja.
Huyu bibie kaja mchangamfu kafunga na hijabu...anaonekana mkarimu na Mimi nikamkarimu.
Tukaulizana maswali mawili matatu kuhusiana na bidhaa atakazo ghafla tukazama kwenye story kuhusu biashara yaani from 0-100
Fasta nimekua nikimzoea .
Sasa sijui nini kilipelekea tukaanza story za biashara na watu kuzitilia nuksi...yaani kukuwangia.
Kidogo akasema dada Mimi Nina watu kichwani..tangu nimekuja hapa nasisimka...alivyosema vile na Mimi nimeanza kusisimka hatariiii....
Yaani kama kanichaji hivi ..
Ndo akasema nimuhudumie aende maana anajisikia hovyo.
Akaniambia serve namba yangu j3 nitakuletea dawa.
Akasema yeye alikua awe mganga ila hataki hao watu ndo wanamlazimisha kwa kua baba yake alikua mganga.
Sasa nikaservw namba nikamtext wasap...nasubuliri jibu..
Wakati akiwa pale dukani nilikua nasisimka kama yeye..yaani yeye mpaka vipele vimemsimama...
Alivyoondoka TU nikarudi kawaida navuta hisia nisismke wapi wala sisisimki tena....
Ila deep down in my heart napaona kwenye goli langu pamekua pazito ...na yeye kanidhibitishia kwamba pale SI pazuri....wapendwa niombeeni wanaofanya biashara na Mimi ni wapemba.
Ila kasema ataniletea dawa ..niipokee au niganyaje ila Kwa hali niliyokua nasisimka akisema nasisimka na Mimi nahisi yaani dah ila sikumwambia Kwa muda ule kwamba na Mimi nahisi hivi..
Haha natamani niwaone walivyolia 😅wanawake mko hivyo, wepesi wa hsia , kudanganywa , kugilibiwa etc etc. Hukuona jana, Kimaro kurudi Kijitonyama wamama wamelia kama wamewekwa betri!
Trust me yeye sio WA kwanza kunipa hizo stori...Kuna stori nilisikia. Wanakuja kama wanataka kukupa msaada, hua wana genge lao wanajifanya wanakuja kununua kwa wingi. Kumbe ni wao. Hapo utaona kama dawa yao inafanya kazi kisha watakwambia ongeza au wape hela kubwa ili biashara ichanganye zaidi. Hapo ndipo hupotea na hutowaona tena. Kazi kwako, za kuambiwa ongeza na zako.
Stor za mambo hayo haya maeneo nilipo wanazipigaga casually tum..yaani kawaida.Kuna stori nilisikia. Wanakuja kama wanataka kukupa msaada, hua wana genge lao wanajifanya wanakuja kununua kwa wingi. Kumbe ni wao. Hapo utaona kama dawa yao inafanya kazi kisha watakwambia ongeza au wape hela kubwa ili biashara ichanganye zaidi. Hapo ndipo hupotea na hutowaona tena. Kazi kwako, za kuambiwa ongeza na zako.
Hahahahaha uwiii sijaanza naamini damu ya yeu ila chumvi ya mawe naitumiagaUko jirani sana kuwa mshirikina,kama bado.
Fair!You are being manipulated.
Hahahaahah nimecheka Kwa nguvuHaha natamani niwaone walivyolia 😅
Hili tukio la kusisimka ndiyo limekuaminisha ya kwamba unahitaji msaada wa dawa zake? Hapana! Aisee. Ukiingia huko, hata hiyo biashara yako utaishia tu kuifunga.Trust me yeye sio WA kwanza kunipa hizo stori...
Na yeye kati ya wateja wangu wakubwa kanunua kawaida sana..
Mimi concern yangu japo mnamuita tapeli...ila Ile hali ya kusisimka yaani kwake nimeiyona maana vipelee vimemuota na Mimi nilikua nahisi hivyo
Naapia Kwa jina la Mungu sijawahi hata kueka kijiti Cha mtu shamba ...yaani sijawahi naridhika na nipatacho..ni kikubwa sana japo Kwa wengine labda ni kidogoBiashara yako utakuwa unaiendesha kishirikina , washirikina kwa washirikina ndo mambo huenda hvyo
Nipo Kwa daladala ndo narudi naenda kuoga na maji ya chumvi na yaombea...Ingekua mapema ungeenda kanisa lololte la katoliki ukawaomba maji ya baraka ujimwagie
Yaani kwanini nimesismka...yeye anasema ana wadudu hao wanaotaka awe mganga....ila Mimi kwanini Sasa nisismke?Hili tukio la kusisimka ndiyo limekuaminisha ya kwamba unahitaji msaada wa dawa zake? Hapana! Aisee. Ukiingia huko, hata hiyo biashara yako utaishia tu kuifunga.
Mimi ni kati ya watu wasioamini kabisa uwepo wa uchawi katika biashara.